best5
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 202
- 70
Kama cha form four ni fake lkn six na degree ni halali hapo inakuwaje?
Hhhhhh na kwanza leta cheti cha form 4 halali ndo tujue na vingne kama ni halali
Kama cha form four ni fake lkn six na degree ni halali hapo inakuwaje?
Ushaanza udiniHana jipya huyu, si alikuwa hapo hapo wanapotoa vyeti feki akatowa matokeo feki.
Hatujasahau.
Mdini sana wewew wewe Ni ccm unamchukiaHana jipya huyu, si alikuwa hapo hapo wanapotoa vyeti feki akatowa matokeo feki.
Hatujasahau.
Hana jipya huyu, si alikuwa hapo hapo wanapotoa vyeti feki akatowa matokeo feki.
Hatujasahau.
Ndio hali halisi.labda tutapona maana tuliosoma twachunga mbuz kwa bib
ZOEZI LA KIHISTORIA HILI NDIO KIPIMO CHA SEREKALI YETU WATUMBULIWE TU.Hili zoezi ni gumu na lina madhara makubwa kwa taifa hasa ktk mambo ya afya.
Tupo pamoja sn maana wanaostahili kuwepo kazini kwa taaluma waliyonayo wapo mitaani na wenye vyeti vya taaluma feki wapo kazini wanakula mishahara isiyowahusu.ZOEZI LA KIHISTORIA HILI NDIO KIPIMO CHA SEREKALI YETU WATUMBULIWE TU.
Una akili sana we Bi mkubwa vyeti fake vingi ni form four na form six na alikua mtendaji mkuu wa baraza alishindwa vipi kuvizuia kipindi chake?Hana jipya huyu, si alikuwa hapo hapo wanapotoa vyeti feki akatowa matokeo feki.
Hatujasahau.
Ikiwa ukweli ni udini wewe baki na kujidanganya.Mdini sana wewew wewe Ni ccm unamchukia
Ushaanza udini
Kwenye majeshi nadhani hawatakwenda, ni mtazamo wangu tu.Chuo kingine cha polisi kianzishwe, maana jeshi litapungua robo tatu
Akihitimisha leo bajeti yake ya wizara ya Elimu,sayansi,teknolojia na ufundi.Waziri huyo anayeonekana ana nia ya dhati kufufua sekta ya Elimu ambayo ilikua mahututi,amewaasa wale wote waliopo makazini kwamba,"kwa kulinda heshima zao wao wenyewe wajiweke pembeni kwani atahakikisha anawasaka popote pale".
Pia amegusia pia kwamba kuna hadi wabunge wenye vyeti feki ambapo amewatahadharisha nao kwamba hawatasalimika kwani wao ndio wanatakiwa kuwa mfano.
Hapo sasa! Lakini dada Joy ni mwana Hisabati. Anaweza sema sema kuwa kosa moja linafanya mengine kuwa feki pia. Kinachoangaliwa ni "uharamu" wa mwanzo (cheti cha kidato cha Nne). LUKU vi..Naa Gu(a) kazi kwao....Kama cha form four ni fake lkn six na degree ni halali hapo inakuwaje?
Ningependa akisome kwa makini kitabu cha Msemakweli. Kuna kaorodha fulani humo. Mh. Waziri aanziage hapo....Mkuu kama siasa haitaingizwa kwenye elimu mana ndio iliyotufikisha hapa,huyu mama anaweza akawa mwarobaini wa elimu yetu.Inaonekana si mwanasiasa, labda wamfundishe.Hii sekta ilikua yatima muda mrefu lakini dawa yake pengine inaweza ikawa imepatikana.Hebu tuweke akiba ya maneno.
Nkurunziza? Naye alisoma Tanzania? Kwa Maraisi wa Afrika waliosoma Tanzania namkumbuka Mu7....na Ka "tribe".Lamekiz mukuruzinza atapona kwel?
Any way talk the talk is here!!