kilalile
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 1,595
- 2,205
Kwa speed ya huyu Mh. Waziri, umakini na uzalendo anaouonesha katika kutekeleza majukumu yake ya kila siku katika kuisimamia wizara nyeti ya elimu pamoja na taaluma za wanataaluma wengine, waziri huyu anastahili kuwa Rais 2025. (2020 Rais atabaki huyuhuyu tuliyenae).
Mtaje wa kwako unaemuona anafaa pia bila kujali anatoka chama gani.
Mtaje wa kwako unaemuona anafaa pia bila kujali anatoka chama gani.