Julius Kaisari
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,176
- 675
Ukweli ninawafagilia sana hao wazalendo hapo juu. Tatizo sielewi kwannn wanashindwa kuchukua tahadhali na kuondoka ndani ya Magamba,
Hivi hawawezi kuiga ya Makamanda wa kikenya kina Odinga,Prof Nyang'nyong'o,Rutto,Kibaki nk? hivi kwann wanashindwa kujua kuwa political life ipo hata nje ya magamba?
Wana Jf, tujitahidi kuongeza posts humu za kuwaconvince makamanda hawa kwani tunajua sasa magamba yanawatu wao humu.... inawezekana wakazinduka. na ninamtazamo kuwa si ajabu 2015 akasimamishwa mwinyi jr au nahodha...(another cry)...
nawasilisha..
Hivi hawawezi kuiga ya Makamanda wa kikenya kina Odinga,Prof Nyang'nyong'o,Rutto,Kibaki nk? hivi kwann wanashindwa kujua kuwa political life ipo hata nje ya magamba?
Wana Jf, tujitahidi kuongeza posts humu za kuwaconvince makamanda hawa kwani tunajua sasa magamba yanawatu wao humu.... inawezekana wakazinduka. na ninamtazamo kuwa si ajabu 2015 akasimamishwa mwinyi jr au nahodha...(another cry)...
nawasilisha..