Prof. Mwandosya azidi kuikoroga CCM aandika kitabu kuelezea rafu na rushwa ndani ya chama

wewe ndiyo ufikirie vizuri mkuu. Kama ameyaona hayo kwa nini bado yuko kwenye serikali ya ccm? Kwa nini asijiuzulu uwaziri na badala yake anaendelea kutumikia serikali hiyo hiyo iliyoingia kwa siasa hizo hizo? Nyerere aliandika kitabu cha kukosoa baada ya kuondoka serikalini je usingeshangaa raisi wa nchi aandike kitabu cha kuikosoa serikali anayoiongoza? Mawazo yako ni "mepesiiii" mkuu. Jipange upya ndiyo ujibu hoja yangu.

wewe mzee umekalia kupiga kelele tu kwenye jamiiforums hata huelewi unacho andika kwani tatizo ni serikali au chama chao? Kama alitoka serikalini mbona alikua bado ccm? Hamna ulicho andika hapo hujui hata tatizo la nchi yako nini!kwa taarifa yako tatizo ni ccm! Chama legelege huzaa serikali legelege!HIYO NDIYO TUITION NIMEKUPA YA BURE!
 
wewe mzee umekalia kupiga kelele tu kwenye jamiiforums hata huelewi unacho andika kwani tatizo ni serikali au chama chao? Kama alitoka serikalini mbona alikua bado ccm? Hamna ulicho andika hapo hujui hata tatizo la nchi yako nini!kwa taarifa yako tatizo ni ccm! Chama legelege huzaa serikali legelege!HIYO NDIYO TUITION NIMEKUPA YA BURE!

Hivi huwa una proof read kabla ya kusoma? Nimesema bado anatumikia serikali hiyo hiyo ambayo imeingia madarakani kwa siasa anazo zipinga. Sasa hiyo serikali imeundwa na chama gani? Do you think my friend? Utatofautishaje CCM na serikali wakati saa nyingine hata kabla ya maamuzi kufanywa na serikali wanajadili kwenye vikao vya chama? Tatizo unasema ni CCM fine no problem sasa serikali ni ya chama gani? INABIDI UJIPE MWENYEWE HIYO TUITION YA BURE
 
Je yeye hakuwa sehemu ya hizo siasa za rafu na rushwa? Je angeshinda uchaguzi wa kumtafuta mgombea wa CCM 2005 leo hii angesema haya? Na je kama mwanaCCM amechukua hatua gani kuhusu tatizo hilo? Maana bado ni waziri kwenye serikali hiyo hiyo iliyoingia madarakani kwa siasa hizo hizo.

kama mwana ccm ameamua kuuchana huo ubovu kwa kitabu maana yake ukweli wake utabaki milele labda watu waamue kuharibu vitabu vyake vyote
big up to him
to me he is so smart and courageous
 
Hivi huwa una proof read kabla ya kusoma? Nimesema bado anatumikia serikali hiyo hiyo ambayo imeingia madarakani kwa siasa anazo zipinga. Sasa hiyo serikali imeundwa na chama gani? Do you think my friend? Utatofautishaje CCM na serikali wakati saa nyingine hata kabla ya maamuzi kufanywa na serikali wanajadili kwenye vikao vya chama? Tatizo unasema ni CCM fine no problem sasa serikali ni ya chama gani? INABIDI UJIPE MWENYEWE HIYO TUITION YA BURE

ukweli uko palepale amekosoa tunampa hongera kwa ushujaa huo!Ameamua kusema ukweli basi.Hata Nyerere alikosoa akiwa bado humohumo ndani ya chama kinachoongoza serikali kama ulivyosema!so hakuna tofauti mimi sitofautishi CCM na serikali,Prof alichotofautiana na Nyerere nikwamba nyerere alikua amestaafu ndiyo akaandika wakati Prof bado hajastaafu ndiyo ameandika so ni vilevile tu.
 
Soon kila raia atachonga mishale na mikuki ili kwenda winda CCM popote.CHa kufurahisha ni kuwa CCM hana tofauti na imani ya akina lipumba huwa wanaamini maadui zao ni walio nje ya kamb yao na si falsafa nzima na mfumo wa chama/imani chao.Kila mwanaCCM anafaida ya kuibomoa CCM akidhani kuwa akimtoa mwingine chama kitaimarika.Mwisho wata collapse.Jamii iliyojengwa katika irrational principles haifanikiwi, na mara zote inakuwa na insane members ambao wanadhani wakiongeza dozi watafanikiwa.Lipumba anadhani nchi ikizidi kuwa kama pakistani basi tutakuwa na maendeleo zaidi ya pakistan au talibani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom