You used to call I Chama cha kikanda now that word has gone wakikukisikia ma CCM wenzako watakuangukia.NGO inakukosesha usingizi kwa nini sasa uweweseke?Anaendeleza ile dhana ya muasisi wa chama ya TUJIKOSOE. Hii dhana inaitofautisha CCM na NGO yenu.
You used to call I Chama cha kikanda now that word has gone wakikukisikia ma CCM wenzako watakuangukia.NGO inakukosesha usingizi kwa nini sasa uweweseke?
Wacha matusi wewe! nini kukiogopa unaweza hata kukiabudu kama mnavyofanya daima. Kama hamuviogopi vinyago mlivyo vichonga wenyewe(rushwa na ufisadi)basi mnaviabudu na kuvitukuza kama kazi!We mwehu nini? Ni weweseke kwa ajili gani? Kinyago nilichokichonga mwenyewe chawezaje kunitisha?
Huyu professor wa electrical engineering. Bora hata angeandika kuhusu 'conservation of charge and energy in electrical circuits'
Huyu professor wa electrical engineering. Bora hata angeandika kuhusu 'conservation of charge and energy in electrical circuits'
Wacha matusi wewe! nini kukiogopa unaweza hata kukiabudu kama mnavyofanya daima. Kama hamuviogopi vinyago mlivyo vichonga wenyewe(rushwa na ufisadi)basi mnaviabudu na kuvitukuza kama kazi!
Source Nipashe
Waziri asiye na kazi maalum Pro Mack Mwandosya amezidi kukiweka chama chake pabaya mara baada ya kutoa kitabu kinachoelezea jinsi gani chama cha Mapinduzi kinavyocheza rafu katika siasa zake zikiambatana na tushwa na kujuana zaidi.