UWEZO_WAKO
Member
- Nov 17, 2010
- 39
- 4
kwa maoni yangu Prof. Mwakyusa angeachwa aendelee na wizara ya Afya, japokuwa ni kimya naona kama aliimudu.
Kweli Prof aliiweza sana ila labda wamemuona tishio kwa 2015. Ni mmoja wa watu safi wachache waliobakia.