Prof.mukandara akiri udsm elimu imeshuka

BONGOLALA

JF-Expert Member
Sep 14, 2009
16,507
11,883
Prof mukandara makamu mkuu wa udsm amekiri kuwa kiwango cha elimu ktk chuo hicho kimeshuka kutokana na maandalizi duni ya wanafunzi wanaodahiliwa!huku jk atamba kujenga vyuo vikuu kila kanda jee hili suala la elimu bora hawaoni kuwa ni tatizo?
 
Vitakuwa ni vyuo vikuu au mwendelezo wa yeboyebo?

Genekai, hakuna chuo kikuu kilichoanza kikiwa kamili. Vyuo vikuu vyote vilianza katika mtindo huohuo wa yeboyebo na baadaye vikagrow na kujikuta vina uwezo wa kujitegemea. Kama JK ataweza kulitekeleza hilo, basi ni jambo jema na ni tumaini jipya katika maendeleo ya elimu hapa nchini.
 
Back
Top Bottom