Mabulangati
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 796
- 164
Ndugu zangu kama kwaida huwa sikurupuki kuchangia madahumu nafanya utafiti kwanza. Kwa hili mtoa hoja ameshindwa kuthibitishia ummaukweli wa swala hili, naungana na Satellite kuomba source ya aliyoaandika.Labda mimi niweke wazi unafiki wa mtoa mada na kuueleza umma kuwa mtoa mada isnot matured interms of reasoning and fact searching bali ni mchochezi yeyepamoja na wanaowahamasisha wanafunzi wastrike bila kuwaeleza uwazi wa jambolenyewe