Prof. Mukandala achanganyikiwa kusikia Jumatatu mgomo

Ndokeji

JF-Expert Member
Jun 9, 2011
698
474
Makamu mkuu wa chuo kikuu cha Dar es salam prof. Rwekaza mukandala kahaha baada ya kusikia Daruso wametangaza kuna mgomo wa wanafunzi kutoingia madarasani kuanzia jumatatu . Prof mukandala akamua kumpigia simu raisi Wa Daruso akimuomba awatangazie wanafunzi kusitisha mgomo mara moja na kumuhakishia yeye yuko tayari kukaa na Daruso mezani na Kuyamaliza hayo Maswala .
 
Makamu mkuu wa chuo kikuu cha Dar es salam prof. Rwekaza mukandala kahaha baada ya kusikia Daruso wametangaza kuna mgomo wa wanafunzi kutoingia madarasani kuanzia jumatatu . Prof mukandala akamua kumpigia simu raisi Wa Daruso akimuomba awatangazie wanafunzi kusitisha mgomo mara moja na kumuhakishia yeye yuko tayari kukaa na Daruso mezani na Kuyamaliza hayo Maswala .
Je muda wote alikuwa wapi kufanya mazungumuzo? Ni ujinga kutokufanya mlichokubaliana. Fanyeni mgomo, kama mnazungumuza basi wakati huo watu wasiingie class, lakini ukikubali muingie class, then yeye atachokifanya atawapick viongozi wa migomo na kuwafukuza tena. Cha muhimu nawashauri gomeni! Nakumbuka marehemu (R.I.P) Chachage ktk kupigania haki za wahadhili wa vyuo vikuu nchini alifanya mtindo wa mgomo, then wapo kwenye kikao na waziri huku watu wapo kwenye kikao wanasuburi majibu na siyo ofisini.
Kitu ambacho mnaweza fanya:
  1. Itisheni kikao J3
  2. Wanafunzi wote wasubiri matokeo ya mazungumzo na VC kikaoni,
  3. Majibu ndiyo yakayoamua.
 
Je muda wote alikuwa wapi kufanya mazungumuzo? Ni ujinga kutokufanya mlichokubaliana. Fanyeni mgomo, kama mnazungumuza basi wakati huo watu wasiingie class, lakini ukikubali muingie class, then yeye atachokifanya atawapick viongozi wa migomo na kuwafukuza tena. Cha muhimu nawashauri gomeni! Nakumbuka marehemu (R.I.P) Chachage ktk kupigania haki za wahadhili wa vyuo vikuu nchini alifanya mtindo wa mgomo, then wapo kwenye kikao na waziri huku watu wapo kwenye kikao wanasuburi majibu na siyo ofisini.
Kitu ambacho mnaweza fanya:
  1. Itisheni kikao J3
  2. Wanafunzi wote wasubiri matokeo ya mazungumzo na VC kikaoni,
  3. Majibu ndiyo yakayoamua.

Nakubaliana nawe kabisa ...Huyu mkandara ni kilaaza sana.
Alichukua chuo kikiwa kina heshima Africa na ulimwenguni ila kwa sasa chuo kimeporomoka kwa upuuzi wake wa kuendekeza siasa badala ya taaluma.Vijana wakazeuzi haki itapatikana tu.
 
... Kila la kheri ktk harakati zenu. Kwa sasa ni kama serikali inaendesha mkakati wa chini chini wa fukuza fukuza vyuoni-kama mko makini mtakuwa mmeshagundua. Kwahiyo, mnapotaka kugoma tena tambueni kwamba wengi waatafukuzwa tena.
 
Kuna suala gani this time?
Next CCM candidate akija kutafuta wadhamini kugombea uprezidaa msisahau kumpa support na kuzunguka nae nchi nzima eh. Poleni sana <with my JK smile>
 
Kwani ni jambo baya kuomba mazungumzo yafanyike? Au watu walishajiwekea maamuzi kichwani kuwa lazima mgomo uwepo? Nampongeza Profesa, nampongeza rais wa DARUSO (kama amekubali).
 
Kwani ni jambo baya kuomba mazungumzo yafanyike? Au watu walishajiwekea maamuzi kichwani kuwa lazima mgomo uwepo? Nampongeza Profesa, nampongeza rais wa DARUSO (kama amekubali).

Hivi Kuwarudisha chuoni wanafunzi waliofukuzwa inahitaji mjadala!!!!
 
... Kila la kheri ktk harakati zenu. Kwa sasa ni kama serikali inaendesha mkakati wa chini chini wa fukuza fukuza vyuoni-kama mko makini mtakuwa mmeshagundua. Kwahiyo, mnapotaka kugoma tena tambueni kwamba wengi waatafukuzwa tena.

Ilopo mkomae tuone watafukuza mpaka lini ila msijelegeza uzi wakati wenzenu washakuwa eliminated
 
Ni vyema serikali ikatambua haki yao na siyo kufanya kuwafukuza bila kufuata utaratibu eti ili kuwaogopesha wasidai haki zao. Embu fanyeni kuwatimizia haja zao tuone kama matatizo hayataisha na chuo kurudi ktk hadhi yake ya awali. Pia inaonyesha mkandala ndo tatizo ya yote kwa ktk Tz nzima hakuna mtu mwingine anaeweza kukiongoza hicho chuo? Ni vyema serikali ikaweka maslahi ya elimu mbele na siyo siasa
 
Back
Top Bottom