Prof. Muhongo hajawahi kufanya mawasiliano ya SMS na Mama Chuwa wa Vipimo, NI UZUSHI

kumusoma

JF-Expert Member
Feb 3, 2014
566
889
PROF MUHONGO HAJAWAHI KUWASILIANA NA MAMA CHUWA WA VIPIMO.

Kumekuwa na upotoshaji mwingi kupitia social media na print media kuwa Prof Muhongo alimtumia sms mama chuwa wa WAM ili awashe mitambo ya flows meters.

Prof muhongo hajawahi kufanya mawasiliano ya aina yeyote na mama chuwa ambeye yuko china ya wizara ya viwanda.

Pia Prof muhongo kwa kupitia wasaidizi wake aliwataka TRA,TPA na WMA kuwasha mitambo ya Flows meters ,kwan aliona serikali inapoteza pesa nyingi bila sababu.

Alitoa agizo hilo kama mtendaji mwenye uchungu na nchi yake na wala hakujua kama Wazir mkuu, Majaliwa atafanya ziara huko.

Kichekesho ni kuwa ukawa wakitumia print media zao na vijana wao waliopo kwa wing ndani ya mitandao ya jamii wameamua kwa makusudi kupotosha ukweli huo.

Wameamua kufanya hivyo ili tu kumukomoa Prof muhongo ambaye aliwanyima vitalu vya gesi mafisadi wao wakubwa na ambao huwa awalipi kodi.

Tunasisitiza kuwa Prof hajawahi kufanya mawasiano na mama chuwa wa WMA na kuwa aliwaagiza wasaidizi wake wahakikishe kuwa Flow meters zinawasha na TRA,TPA na WMA kama utendaji wake wa kawaida.
 
PROF MUHONGO HAJAWAHI KUWASILIANA NA MAMA CHUWA WA VIPIMO.Kumekuwa na upotoshaji mwingi kupitia social media na print media kuwa Prof Muhongo alimtumia sms mama chuwa wa WAM ili awashe mitambo ya flows meters.Prof muhongo hajawahi kufanya mawasiliano ya aina yeyote na mama chuwa ambeye yuko china ya wizara ya viwanda.Pia Prof muhongo kwa kupitia wasaidizi wake aliwataka TRA,TPA na WAM kuwasha mitambo ya Flows meters ,kwan aliona serikali inapoteza pesa nyingi bila sababu.Alitoa agizo hilo kama mtendaji mwenye uchungu na nchi yake na wala hakujua kama Wazir mkuu ,Majaliwa atafanya ziara huko. Kichekesho ni kuwa ukawa wakitumia print media zao na vijana wao waliopo kwa wing ndani ya mitandao ya jamii wameamua kwa makusudi kupotosha ukweli huo.Wameamua kufanya hivyo ili tu kumukomoa Prof muhongo ambaye aliwanyima vitalu vya gesi mafisadi wao wakubwa na ambao huwa awalipi kodi.Tunasisitiza kuwa Prof hajawahi kufanya mawasiano na mama chuwa wa WAM na kuwa aliwaagiza wasaidiz wake wahakikishe kuwa Flow meters zinawasha na TRA,TPA na WAM kama utendaji wake wa kawaida.Na hakuwa na habar yeyote kuwa wazir mkuu atakwenda bandarin.

Umbea na ushabiki mandazi tu umekujaa weye! Unamsemea Muongo kama nani?! Kwa nini yeye mwenyewe asijitokeze hadharani kwenye media akanushe?! Utasutwa weye!
 
PROF MUHONGO HAJAWAHI KUWASILIANA NA MAMA CHUWA WA VIPIMO.Kumekuwa na upotoshaji mwingi kupitia social media na print media kuwa Prof Muhongo alimtumia sms mama chuwa wa WAM ili awashe mitambo ya flows meters.Prof muhongo hajawahi kufanya mawasiliano ya aina yeyote na mama chuwa ambeye yuko china ya wizara ya viwanda.Pia Prof muhongo kwa kupitia wasaidizi wake aliwataka TRA,TPA na WAM kuwasha mitambo ya Flows meters ,kwan aliona serikali inapoteza pesa nyingi bila sababu.Alitoa agizo hilo kama mtendaji mwenye uchungu na nchi yake na wala hakujua kama Wazir mkuu ,Majaliwa atafanya ziara huko. Kichekesho ni kuwa ukawa wakitumia print media zao na vijana wao waliopo kwa wing ndani ya mitandao ya jamii wameamua kwa makusudi kupotosha ukweli huo.Wameamua kufanya hivyo ili tu kumukomoa Prof muhongo ambaye aliwanyima vitalu vya gesi mafisadi wao wakubwa na ambao huwa awalipi kodi.Tunasisitiza kuwa Prof hajawahi kufanya mawasiano na mama chuwa wa WAM na kuwa aliwaagiza wasaidiz wake wahakikishe kuwa Flow meters zinawasha na TRA,TPA na WAM kama utendaji wake wa kawaida.Na hakuwa na habar yeyote kuwa wazir mkuu atakwenda bandarin.
Mkuu unatuchanganya una maanisha nini ukisema WAM?una maana ya WMA au ni story nyingine?
 
Muhongo kapata mtetezi . Hata kama Chuwa yuko chiji wizara ya viwanda, Muhongo ana wajibu hata wa kushauri kwa masuala ya mafuta. Huwezi uka rule out uwezekano wa yeye kuwasiliana na watu katika wizara zingine. After all, kuna watu wamemsikia akimtaja Muhongo.

Huu utetezi si makini kabisa
 
PROF MUHONGO HAJAWAHI KUWASILIANA NA MAMA CHUWA WA VIPIMO.Kumekuwa na upotoshaji mwingi kupitia social media na print media kuwa Prof Muhongo alimtumia sms mama chuwa wa WAM ili awashe mitambo ya flows meters.Prof muhongo hajawahi kufanya mawasiliano ya aina yeyote na mama chuwa ambeye yuko china ya wizara ya viwanda.Pia Prof muhongo kwa kupitia wasaidizi wake aliwataka TRA,TPA na WAM kuwasha mitambo ya Flows meters ,kwan aliona serikali inapoteza pesa nyingi bila sababu.Alitoa agizo hilo kama mtendaji mwenye uchungu na nchi yake na wala hakujua kama Wazir mkuu ,Majaliwa atafanya ziara huko. Kichekesho ni kuwa ukawa wakitumia print media zao na vijana wao waliopo kwa wing ndani ya mitandao ya jamii wameamua kwa makusudi kupotosha ukweli huo.Wameamua kufanya hivyo ili tu kumukomoa Prof muhongo ambaye aliwanyima vitalu vya gesi mafisadi wao wakubwa na ambao huwa awalipi kodi.Tunasisitiza kuwa Prof hajawahi kufanya mawasiano na mama chuwa wa WAM na kuwa aliwaagiza wasaidiz wake wahakikishe kuwa Flow meters zinawasha na TRA,TPA na WAM kama utendaji wake wa kawaida.Na hakuwa na habar yeyote kuwa wazir mkuu atakwenda bandarin.
Weee unaongea kama nani?
 
PROF MUHONGO HAJAWAHI KUWASILIANA NA MAMA CHUWA WA VIPIMO.Kumekuwa na upotoshaji mwingi kupitia social media na print media kuwa Prof Muhongo alimtumia sms mama chuwa wa WAM ili awashe mitambo ya flows meters.Prof muhongo hajawahi kufanya mawasiliano ya aina yeyote na mama chuwa ambeye yuko china ya wizara ya viwanda.Pia Prof muhongo kwa kupitia wasaidizi wake aliwataka TRA,TPA na WAM kuwasha mitambo ya Flows meters ,kwan aliona serikali inapoteza pesa nyingi bila sababu.Alitoa agizo hilo kama mtendaji mwenye uchungu na nchi yake na wala hakujua kama Wazir mkuu ,Majaliwa atafanya ziara huko. Kichekesho ni kuwa ukawa wakitumia print media zao na vijana wao waliopo kwa wing ndani ya mitandao ya jamii wameamua kwa makusudi kupotosha ukweli huo.Wameamua kufanya hivyo ili tu kumukomoa Prof muhongo ambaye aliwanyima vitalu vya gesi mafisadi wao wakubwa na ambao huwa awalipi kodi.Tunasisitiza kuwa Prof hajawahi kufanya mawasiano na mama chuwa wa WAM na kuwa aliwaagiza wasaidiz wake wahakikishe kuwa Flow meters zinawasha na TRA,TPA na WAM kama utendaji wake wa kawaida.Na hakuwa na habar yeyote kuwa wazir mkuu atakwenda bandarin.

Mkuu umekosea kuandika alikuagiza mwambie afanye editing then urepost ,sorry lakini just advice tu
 
Wewe kwenye wale vijana 46 wa ccm ni Namba ngapi mama wa vipimo mwenyewe kwa mdomo wake kasema muhongo kamtumia sms wewe una kataa kama nani
Mkuu Nina shida na Kofia 8, tishrts 7za green 3 yellow + bendera 10.. Nitapita Mitaa ya Lumumba Kesho.. Nakupataje?? Naomba uniuzie kwa bei ya kulangua, sina kitu Ndg yako.
 
PROF MUHONGO HAJAWAHI KUWASILIANA NA MAMA CHUWA WA VIPIMO.Kumekuwa na upotoshaji mwingi kupitia social media na print media kuwa Prof Muhongo alimtumia sms mama chuwa wa WAM ili awashe mitambo ya flows meters.Prof muhongo hajawahi kufanya mawasiliano ya aina yeyote na mama chuwa ambeye yuko china ya wizara ya viwanda.Pia Prof muhongo kwa kupitia wasaidizi wake aliwataka TRA,TPA na WAM kuwasha mitambo ya Flows meters ,kwan aliona serikali inapoteza pesa nyingi bila sababu.Alitoa agizo hilo kama mtendaji mwenye uchungu na nchi yake na wala hakujua kama Wazir mkuu ,Majaliwa atafanya ziara huko. Kichekesho ni kuwa ukawa wakitumia print media zao na vijana wao waliopo kwa wing ndani ya mitandao ya jamii wameamua kwa makusudi kupotosha ukweli huo.Wameamua kufanya hivyo ili tu kumukomoa Prof muhongo ambaye aliwanyima vitalu vya gesi mafisadi wao wakubwa na ambao huwa awalipi kodi.Tunasisitiza kuwa Prof hajawahi kufanya mawasiano na mama chuwa wa WAM na kuwa aliwaagiza wasaidiz wake wahakikishe kuwa Flow meters zinawasha na TRA,TPA na WAM kama utendaji wake wa kawaida.Na hakuwa na habar yeyote kuwa wazir mkuu atakwenda bandarin.
Hivi hamnaga mshipa wa aibu? Kila mtu aliskia yule mama akihojiwa lakini leo unaibuka kudai ni ukawa, tuwe wakweli jaman
 
Kwa ninavyowafahamu watu wa musoma, hakuna kichwa Maji kama wewe mleta post.

Jipange upya NA ikiwezekana hii username yako usiitumie tena, ni udhalilishaji
 
Back
Top Bottom