Prof. Muhongo ampiga dongo Zitto Kabwe(?)

Waziri wa Nishati na Madini Prof Sospeter Mhongo amesema kamwe hatafuata ushauri unaohusu gas kwa watu ambao wamehudhuria mafunzo ya wiki moja ya gas na kupata cheti cha mahudhurio 'certificate of attendance' na amekemea tabia ya watu hao kujifanya wanajua sana masuala ya gas kuliko wataalam wenyewe.

Binafsi hili nimeona kama ni dongo kwa ZZK ambaye kwa kipindi kirefu amekuwa akikosoa utendaji kazi wa Prof Mhongo hasa kuhusiana na sector hii ya gas.

Zitto amewahi kujinasibu kwamba yeye si mtaalam wa madini na gas lakini akasema, namnukuu,

Nimuombe Mheshimiwa waziri si kila ushauri unaotolewa na mtu ambaye si mtaalam wa sector husika basi si mzuri, namuomba aache kurusha madongo kwa watu wanaomkosoa, kiongozi asiyetaka kukosolewa hafai kuwa kiongozi.

Naomba ofisi ya wizara ya nishati na madini isikufanye ujisahau sasa, chukua kukosolewa kama ni challenges za wewe kufanya vizuri. Kama huelewani na ZZK kama mtu lakini chukua ushauri wake.

Sidhani kama Prof. Muhongo alikuwa ananipiga madongo mimi maana mimi sina certificate yeyote ya Oil and Gas. Atakuwa anawasema watu wa CSOs.
Nikiwa Mbunge kazi yangu ni kuisimamia serikali. Sitoi ushauri kwa waziri yeyote yule. Ninatoa hoja kwa mwono mbadala. Waziri ana hiari ya kuchukua hoja zetu kama upinzani au hapana maana sisi tukishika dola tutazitekeleza sera zetu.
Waziri aendelee na juhudi zake za kuhakikisha hakuna mgawo wa umeme nchini na kwamba wananchi wengi zaidi vijijini wanapata umeme kutoka 14%
Ya sasa mpaka 30% waliyoahidi kwenye ilani ya chama chao.
Ikumbukwe tu kwamba huyu ni Waziri wa CCM na tutamhukumu kama mwana CCM mwingine yeyote yule.
Nikiwa Waziri kivuli wa Fedha na uchumi na kwa kutumia taaluma yangu ya Uchumi, Uchumi Biashara (international trade) na Uchumi Madini (mineral economics) nitaendelea kusimamia sera za chama changu cha CHADEMA kwamba rasilimali za nchi lazima zifaidishe wananchi.
Tulisimamia suala la mikataba ya madini wakati wataalamu wa miamba wakiwa kimya na wengine wakiwa ma consultant wa hayo makampuni ya madini na tukafanikiwa kutunga sheria mpya ya madini.
Tumesimamia suala la kuandikwa kwa sera ya gesi kabla Prof. Muhongo hajawa Waziri na tutaendelea kusimamia mpaka tupate sera nzuri itakayojali maslahi ya nchi yetu.
Tutaendelea kukataa uchimbaji wa Uranium mpaka hapo tutakapojiridhisha kwamba usalama wa wananchi wetu umezingatiwa na makampuni ya utafutaji na uchimbaji yanalipa kodi inavyostahili.
 
Waziri wa Nishati na Madini Prof Sospeter Mhongo amesema kamwe hatafuata ushauri unaohusu gas kwa watu ambao wamehudhuria mafunzo ya wiki moja ya gas na kupata cheti cha mahudhurio 'certificate of attendance' na amekemea tabia ya watu hao kujifanya wanajua sana masuala ya gas kuliko wataalam wenyewe.

Binafsi hili nimeona kama ni dongo kwa ZZK ambaye kwa kipindi kirefu amekuwa akikosoa utendaji kazi wa Prof Mhongo hasa kuhusiana na sector hii ya gas.

Zitto amewahi kujinasibu kwamba yeye si mtaalam wa madini na gas lakini akasema, namnukuu,

Nimuombe Mheshimiwa waziri si kila ushauri unaotolewa na mtu ambaye si mtaalam wa sector husika basi si mzuri, namuomba aache kurusha madongo kwa watu wanaomkosoa, kiongozi asiyetaka kukosolewa hafai kuwa kiongozi.

Naomba ofisi ya wizara ya nishati na madini isikufanye ujisahau sasa, chukua kukosolewa kama ni challenges za wewe kufanya vizuri. Kama huelewani na ZZK kama mtu lakini chukua ushauri wake.

jamani hivi kwenye huo mjadala alimtaja ZZK? na je kwan ni watu wangapi ambao wamejaribu kumshauri juu ya hili hadi wewe useme anajisahau kwa kuwa waziri wa nishat na madini? ama wapi aliposema kwamba hataki kukosolewa? yeye hajapinga hilo ila hatak ushaur kuku na ndio maana hata mawazo kama ya ZZK kwake anayaona kama changamoto na ili kupunguza idadi ya changamoto zisizo na tija basi kusema wazi sizipokei ni busara.

hivi umewah kujiuliza anapata vimemo vingapi vya makabrasha kila mtu anajifanya mshauri na mtaalam? je ungekuwa wewe ungejibu nn hasa kwa wale ambao wanashauri huku ikiwa ni pumba tupu? lazim uwapige life ban kwamba hizi sizipokei ili wajue waje na maswala yenye mantiki. Prof ni kichwa sana tu tena anaweza kuwazidi mawaziri wote kwa kutumia akili pevu.
 
Sidhani kama Prof. Muhongo alikuwa ananipiga madongo mimi maana mimi sina certificate yeyote ya Oil and Gas. Atakuwa anawasema watu wa CSOs.
Nikiwa Mbunge kazi yangu ni kuisimamia serikali. Sitoi ushauri kwa waziri yeyote yule. Ninatoa hoja kwa mwono mbadala. Waziri ana hiari ya kuchukua hoja zetu kama upinzani au hapana maana sisi tukishika dola tutazitekeleza sera zetu.
Waziri aendelee na juhudi zake za kuhakikisha hakuna mgawo wa umeme nchini na kwamba wananchi wengi zaidi vijijini wanapata umeme kutoka 14%
Ya sasa mpaka 30% waliyoahidi kwenye ilani ya chama chao.
Ikumbukwe tu kwamba huyu ni Waziri wa CCM na tutamhukumu kama mwana CCM mwingine yeyote yule.
Nikiwa Waziri kivuli wa Fedha na uchumi na kwa kutumia taaluma yangu ya Uchumi, Uchumi Biashara (international trade) na Uchumi Madini (mineral economics) nitaendelea kusimamia sera za chama changu cha CHADEMA kwamba rasilimali za nchi lazima zifaidishe wananchi.
Tulisimamia suala la mikataba ya madini wakati wataalamu wa miamba wakiwa kimya na wengine wakiwa ma consultant wa hayo makampuni ya madini na tukafanikiwa kutunga sheria mpya ya madini.
Tumesimamia suala la kuandikwa kwa sera ya gesi kabla Prof. Muhongo hajawa Waziri na tutaendelea kusimamia mpaka tupate sera nzuri itakayojali maslahi ya nchi yetu.
Tutaendelea kukataa uchimbaji wa Uranium mpaka hapo tutakapojiridhisha kwamba usalama wa wananchi wetu umezingatiwa na makampuni ya utafutaji na uchimbaji yanalipa kodi inavyostahili.

nafurah kuona kwamba umewajibu watu ili sasa waje na hoja zenye mashiko.
 
kama muhongo anasema hawezi kusililiza mawazo ya wenye certificate of participation iweje tena atumbie amepeleka rasimu kwa wananchi ili watoe maoni yao kuhusu sera ya gas kabla haijawa sheria?
Anakataa ushauri wa watu wenye access na information anasubiri maoni ya watu ambao hata umeme hawana. Prove kwamba hii sio contradiction.

Si kweli, yeye alimaanisha kuwa hatawasikiliza wapotoshaji wanaojifanya kuwa wajuvi kumbe ni wahidhuriaji wa semina. Na hawa watu wapo tena wanajijua. Kama wewe ni mmoja wapo basi wacha kupotosha zaidi maana wananchi wa kawaida ndio anaowa target kwa kueleza toka mwanzo kuwa wao ndio watapata nafasi ya kujadili rasimu ya sera. Na pia watahusishwa wasomi na wadau wote. Narudia tena kuwa ni watu wapotoshwaji tena wenye elimu hafifu katika mambo wanayojitanabaisha kuwa wanayajua sana ndio wanaozungumziwa hapo.


Prof. kaniangusha bana, ameulizwa jinsi tanesco ilivyojiandaa kupambana na hujuma akasema wao hawapigi propaganda ni vitendo zaidi, badala ya angalau kutumegea kidogo jinsi walivyojipanga, lakini baadaye akaanza kutaja njia mpya za umeme wanazojenga (kwa maelezo yake). Hili jibu nalo ni la kimkakati kama ambavyo angejibu swali la kwanza. Contradiction nyingine

Swali likuwa zaidi kuhusu mkakati wa waongo na wapotoshwaji na akawaeleza ninyi kuwa Wizara sasa haina muda wa kupoteza na wapotoshaji, wao watachapa kazi kuboresha maisha ya watanzania. Aidha ameeleza onyo na ushauri wa naibu spika kutozungumzia yaliyotokea bungeni.

Pia amezungumzia huduma za tanesco kwa kusema eti zimekuwa bora zaidi, akatoa mfano kwamba sasa hivi kama umeme utakatika meneja wa eneo husika lazima atangazie eneo lake na kama umeme unakatika ghafla basi lazima awaombe radhi waathirika.
Kwenye consumer rights hiyo ni muhimu sana. Tulizoezwa kukatiwa tu umeme bila maelezo mpaka tukafikiri kuwa TANESCO wako juu yetu na ni haki yao kufanya hivyo. Big up Profesa kwa kulisisitiza hili. Tunachosema ni kuwa ukweli bado maboresho mengi yanatakiwa huko TANESCO na hilo amekiri maana mitambo, nguzo n,k ni ya toka karne iliyopita bila matengenezo ya kutosha. Tunahitaji umeme sisi!!

Acha tu prof. Apewe ushauri bana

Ushauri ndo anahuitaji sana maana wizara hii tumeichunguza sana na yeye anaonekana kuwashirikisha sana Manaibu wake, Katibu Mkuu (Mtendaji Mkuu) na wadau wote wa kila sekta. Huyu Waziri aliwaita waliowahi kuwa maCEO wa TANESCO siku za nyuma mwanzoni kabisa kupata ushauri wao hata kama walikuwa na failures zao; kawaita wawakilishi wa wachimbaji wadogo wadogo, kawagawia mikataba wajumbe wa Bodi TPDC n.k Siku za nyuma uliyasikia hayo? Si ilikuwa kila kitu ni kificho? Ushauri anautaka sana ila hata kama ningekuwa mimi sikubali kupata ushauri wa kejeli na upotoshwaji toka kwa watu ambao hata elimu zao ni za kuhudhuria short courses! Message sent ukitafuta kumtukana Profesa atakuaibisha kifalsafa maana ni madaktari wa falsafa!! Ukitafuta kumtukana mwanajeshi anakushughulikia kijeshi!

Muongo, Magufuri, Mwakyembe na wengine wachache wanachapa kazi wapewe ushiriano!
 
Sidhani kama Prof. Muhongo alikuwa ananipiga madongo mimi maana mimi sina certificate yeyote ya Oil and Gas. Atakuwa anawasema watu wa CSOs.
Nikiwa Mbunge kazi yangu ni kuisimamia serikali. Sitoi ushauri kwa waziri yeyote yule. Ninatoa hoja kwa mwono mbadala. Waziri ana hiari ya kuchukua hoja zetu kama upinzani au hapana maana sisi tukishika dola tutazitekeleza sera zetu.
Waziri aendelee na juhudi zake za kuhakikisha hakuna mgawo wa umeme nchini na kwamba wananchi wengi zaidi vijijini wanapata umeme kutoka 14%
Ya sasa mpaka 30% waliyoahidi kwenye ilani ya chama chao.
Ikumbukwe tu kwamba huyu ni Waziri wa CCM na tutamhukumu kama mwana CCM mwingine yeyote yule.
Nikiwa Waziri kivuli wa Fedha na uchumi na kwa kutumia taaluma yangu ya Uchumi, Uchumi Biashara (international trade) na Uchumi Madini (mineral economics) nitaendelea kusimamia sera za chama changu cha CHADEMA kwamba rasilimali za nchi lazima zifaidishe wananchi.
Tulisimamia suala la mikataba ya madini wakati wataalamu wa miamba wakiwa kimya na wengine wakiwa ma consultant wa hayo makampuni ya madini na tukafanikiwa kutunga sheria mpya ya madini.
Tumesimamia suala la kuandikwa kwa sera ya gesi kabla Prof. Muhongo hajawa Waziri na tutaendelea kusimamia mpaka tupate sera nzuri itakayojali maslahi ya nchi yetu.
Tutaendelea kukataa uchimbaji wa Uranium mpaka hapo tutakapojiridhisha kwamba usalama wa wananchi wetu umezingatiwa na makampuni ya utafutaji na uchimbaji yanalipa kodi inavyostahili.

Nashuru kwa wewe kujitokeza na kukanusha uvumi huu kuwa Prof. anakushambulia wewe. Naamini wewe kwa nafasi yako ya ubunge unawasilisha mawazo ya watu wengu kwa maana unakusanya mawazo ya wananchi na kuyawasilisha kwa njia yoyote ile.

Ukosoaji wenye nia ya kujenga ndio unahitajiki na haimaanishi kwamba kila unachoshauri/tunachoshauri kitapewa uzito stahiki kwani vikwazo ni vingi na ushabiki wa kivyama ndio unaoharibu kabisa.

Nakupongeza tena kamanda Zitto ,nakutakia kazi njema za ukombozi ya nchi hii.
 
Last edited by a moderator:
Nimemsikia akisema kuwa by 2015 penetration ya umeme itakuwa 30% kwa watz wote toka 18% ya sasa
 
Pamoja na mambo mengine, ametahadharisha waTZ kuhusu watu wanaojifanya wataalmu wa Gesi na Uranium kwa kuwa tu wamehudhuria kozi za mambo hayo za wiki tatu na kupata "CERTIFICATE OF ATTENDANCE", ila hawajui lolote juu ya mambo hayo!
Pia hakuna kitu kinachoitwa Mgao wa umeme (Power rationing) kwa kuwa uwezo wa kuzalisha umeme ni mkubwa kuliko hata mahitaji ya siku! hitaji la juu kabisa ni Megawati 850 lakini wanazalisha MEGAWATI 1000+, kwa hiyo kwa hali hiyo hakuna mgao!
Pia kasema EWURA na TANESCO walikuwa na mpango wa kupandisha gharama za umeme January mwakani, amewapiga STOP! kwa kuwa hawana sababu kwani hata madeni ya TANESCO serikali inawalipia!!!!!

Kasema pia ili kuondoa hiyo sura ya "mgao", inatakiwa viongozi wa TANESCO mahali mahali wawe na utaratibu wa kutoa taarifa umeme ukatikapo ama kabla ya kukatika, na kueleza sababu za kukatika! Hii kitu kweli hawa jamaa huwa hawafanyi!

La mwisho nililopata ni kwamba, haka ka sura ka "mgao" kanaonekana kuna watu wanakafurahia kwa sababu za kisiasa, kiuchumi(wana maslahi yao- business), ama chuki binafsi! yaani wanakalazimishia kaonekane kapo kumbe maskini hata hakuna mgao wa ukweli!!!!

Yangu ni hayo tu mkuu


Asante mkuu ila jamaa kaongea point. watu wenyewe wanaohudhuria hizo cozi za wiki tatu si unajua ni wasinziaji tu.
watu wanalazimisha wizi tuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Sidhani kama Prof. Muhongo alikuwa ananipiga madongo mimi maana mimi sina certificate yeyote ya Oil and Gas. Atakuwa anawasema watu wa CSOs.
Nikiwa Mbunge kazi yangu ni kuisimamia serikali. Sitoi ushauri kwa waziri yeyote yule. Ninatoa hoja kwa mwono mbadala. Waziri ana hiari ya kuchukua hoja zetu kama upinzani au hapana maana sisi tukishika dola tutazitekeleza sera zetu.
Waziri aendelee na juhudi zake za kuhakikisha hakuna mgawo wa umeme nchini na kwamba wananchi wengi zaidi vijijini wanapata umeme kutoka 14%
Ya sasa mpaka 30% waliyoahidi kwenye ilani ya chama chao.
Ikumbukwe tu kwamba huyu ni Waziri wa CCM na tutamhukumu kama mwana CCM mwingine yeyote yule.
Nikiwa Waziri kivuli wa Fedha na uchumi na kwa kutumia taaluma yangu ya Uchumi, Uchumi Biashara (international trade) na Uchumi Madini (mineral economics) nitaendelea kusimamia sera za chama changu cha CHADEMA kwamba rasilimali za nchi lazima zifaidishe wananchi.
Tulisimamia suala la mikataba ya madini wakati wataalamu wa miamba wakiwa kimya na wengine wakiwa ma consultant wa hayo makampuni ya madini na tukafanikiwa kutunga sheria mpya ya madini.
Tumesimamia suala la kuandikwa kwa sera ya gesi kabla Prof. Muhongo hajawa Waziri na tutaendelea kusimamia mpaka tupate sera nzuri itakayojali maslahi ya nchi yetu.
Tutaendelea kukataa uchimbaji wa Uranium mpaka hapo tutakapojiridhisha kwamba usalama wa wananchi wetu umezingatiwa na makampuni ya utafutaji na uchimbaji yanalipa kodi inavyostahili.
Nimependa approach yako dhidi ya tuhuma mbalimbali mh. Zitto......haswa hii issue na huyu waziri wa nishati na madini.....Once again naomba sana sana kwenye session hii ya bunge hili ujipambanue dhidi ya wanafiki wa ccm......nikimaanisha kwamba...ebu nyie CDM jitahidini muwezavyo ku challenge maamuzi ya speaker makinda kuhusu ile ripoti ya Mbwilizi.....Nasema hivi nikikumbushia kuwa kabla ya kuundwa kwa ile tume kulikuwa na uvumi mkubwa kwamba wewe mh.Zitto umehusika na issue za kifisadi na tanesco.....mambo yaliyotokana na wewe kuonekana kumtetea Mhando(ex MD wa tanesco).......nasema hivi nikikumbushia pia uvumi wa magazetini usemaoo kwamba ripoti ya Mbwilizi haitasomwa na kujadiliwa bungeni.....eti vile kuna uvumi kwamba imevuja na baadhi ya watuhumiwa(probably nawe ukiwamo)wamesafishwa...na wengine (kama waziri Muhongo na naibu wake)wamekuwa implicated.....Sasa ingekuwa vizuri sana kama ukweli wa ripoti hii ungejulikana kwa watanzania kw kupitia hoja zenu bungeni....kwa maana ya kuetetea mjadala wa ripoti hii....maana inaonekana hawa ccm watataka wafiche uchafu wao kwa kutosomwa kwa ripoti.......what is your take on this matter mh.Zitto!
 
HAKUNA KITU HUYU NI MSOMI MTENDAJI ANAYEPENDA KUONA RESULTS.
kwani kiongozi bora anatakiwa awe ni mjinga asiyejua kusoma na kuandika na asiyekua mtendaji na asiyetaka matokeo?


YEYE MWENYEWE NINA HAKIKA HATAKI KABISA HAYA MAMBO YA SIASA.
Hataki mambo ya siasa? Mbunge hataki mambo ya siasa, kwani sasa hivi anajishughulisha na mambo gani, biashara ya dagaa?
 
Anasema hakuna haja ya kuwa na mambo ya umeme wa dharura kwani ndio chanzo cha ufisadi. Asisitiza hakuna na hakutokuwa na mgao wa umeme. Asema kila mtu anaongelea mambo ya gesi,hata wasiokuwa na utaalamu wanaongelea kama wataalamu na hivyo wanapotosha umma. Kwa hayo na mengine mengi angalia ITV saa 3 usiku leo,kipindi cha dakika 45.
Mbona hakuna neno Zitto hapo??
 
Mleta uzi nadhani ulikuwa unataka kuteka michango ya wana Jf tu kutaja jina la zitto wakati hata huelewi unaongea kitu gani,Mh zitto amekanusha kuwa sio yeye mlengwa na wala yeye hana hiyo certificate,sasa njoo uthibitishe madai yako,vinginevyo Mods mpeni ban ya wiki hata 2 hivi huyu mzushi kulinda hadhi ya JF ambayo imekwishapotea kabisa,watu wanaropoka kama vile fcbk hapa!
 
Sidhani kama Prof. Muhongo alikuwa ananipiga madongo mimi maana mimi sina certificate yeyote ya Oil and Gas. Atakuwa anawasema watu wa CSOs.
Nikiwa Mbunge kazi yangu ni kuisimamia serikali. Sitoi ushauri kwa waziri yeyote yule. Ninatoa hoja kwa mwono mbadala. Waziri ana hiari ya kuchukua hoja zetu kama upinzani au hapana maana sisi tukishika dola tutazitekeleza sera zetu.
Waziri aendelee na juhudi zake za kuhakikisha hakuna mgawo wa umeme nchini na kwamba wananchi wengi zaidi vijijini wanapata umeme kutoka 14%
Ya sasa mpaka 30% waliyoahidi kwenye ilani ya chama chao.
Ikumbukwe tu kwamba huyu ni Waziri wa CCM na tutamhukumu kama mwana CCM mwingine yeyote yule.
Nikiwa Waziri kivuli wa Fedha na uchumi na kwa kutumia taaluma yangu ya Uchumi, Uchumi Biashara (international trade) na Uchumi Madini (mineral economics) nitaendelea kusimamia sera za chama changu cha CHADEMA kwamba rasilimali za nchi lazima zifaidishe wananchi.
Tulisimamia suala la mikataba ya madini wakati wataalamu wa miamba wakiwa kimya na wengine wakiwa ma consultant wa hayo makampuni ya madini na tukafanikiwa kutunga sheria mpya ya madini.
Tumesimamia suala la kuandikwa kwa sera ya gesi kabla Prof. Muhongo hajawa Waziri na tutaendelea kusimamia mpaka tupate sera nzuri itakayojali maslahi ya nchi yetu.
Tutaendelea kukataa uchimbaji wa Uranium mpaka hapo tutakapojiridhisha kwamba usalama wa wananchi wetu umezingatiwa na makampuni ya utafutaji na uchimbaji yanalipa kodi inavyostahili.

Wengine hawatambui vipawa vyako. Nabii hakubaliki nyumbani ZZK.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom