bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,107
-Ni baada ya kuwarudisha wanachuo 43 ambao walikuwa suspended kwa kosa la kufanya maandamano ambayo hayakuwa na ruhusa.
-Wengine 8 bado mazungumzo yanaendelea ili waweze kurudishwa.
-Tangazo la kutoka kwa BOOM kesho lanyamazisha Mgomo mkubwa.
Ni jana tu niliripoti kuhusu hatihati kubwa za kuwepo mgomo kesho J3 hapa Udsm hii ni kutokana na kufukuzwa kwa wenzetu 43 na pia kuhusu kutoingizwa kwa boom mpaka sasa.
Leo jioni mida ya sa kumi hii yamebandikwa matangazo ambayo yanaelezea kurudishwa kwa wenzetu 43 na wengine 8 kujadiliana namna ambavyo watarudishwa. HII IMEKUWA FARAJA KUBWA SANA KWA WANAUDSM PAMOJA NA WAZAZI WA WENZETU UKIZINGATIA KWAMBA WALIKUWA WAKITETEA WADOGO ZETU.
BOOM BOOM BOOM
Hatimaye waziri wa mikopo Udsm mh naftari athibitisha kuingizwa kwa bum kufikia kesho mchana baada ya wiki mbili za tabu na shida kwa wanaudsm japo si wote kama ujuavyo kila mahali hapakosi kuwa na matabaka.
-HABARI HII IMEKUWA FARAJA PIA KWETU NA IMEPUNGUZA HASIRA ZA KESHO.
SWALI: JE ENDAPO HIYO KESHO HAKUAINGIZWA BUM NINI KITATOKEA HILI NDO JAMBO AMBALO WENGI WANACHUO WANAJIULIZA.
Hii ndo khalì ya udsm kwa sasa.
Mimi napenda kuwashukuru uongozi wa chuo, wakishirikiana na Daruso kwa busara walizozitumia k uweza kuwasudisha hao wenzetu manakeee sijui nini kingètokea kama si kufungwa chuo.
Nikiripoti toka hapa hall 5 floor ya kwanza rum no mimi ni bampami wa Jffff!!
-Wengine 8 bado mazungumzo yanaendelea ili waweze kurudishwa.
-Tangazo la kutoka kwa BOOM kesho lanyamazisha Mgomo mkubwa.
Ni jana tu niliripoti kuhusu hatihati kubwa za kuwepo mgomo kesho J3 hapa Udsm hii ni kutokana na kufukuzwa kwa wenzetu 43 na pia kuhusu kutoingizwa kwa boom mpaka sasa.
Leo jioni mida ya sa kumi hii yamebandikwa matangazo ambayo yanaelezea kurudishwa kwa wenzetu 43 na wengine 8 kujadiliana namna ambavyo watarudishwa. HII IMEKUWA FARAJA KUBWA SANA KWA WANAUDSM PAMOJA NA WAZAZI WA WENZETU UKIZINGATIA KWAMBA WALIKUWA WAKITETEA WADOGO ZETU.
BOOM BOOM BOOM
Hatimaye waziri wa mikopo Udsm mh naftari athibitisha kuingizwa kwa bum kufikia kesho mchana baada ya wiki mbili za tabu na shida kwa wanaudsm japo si wote kama ujuavyo kila mahali hapakosi kuwa na matabaka.
-HABARI HII IMEKUWA FARAJA PIA KWETU NA IMEPUNGUZA HASIRA ZA KESHO.
SWALI: JE ENDAPO HIYO KESHO HAKUAINGIZWA BUM NINI KITATOKEA HILI NDO JAMBO AMBALO WENGI WANACHUO WANAJIULIZA.
Hii ndo khalì ya udsm kwa sasa.
Mimi napenda kuwashukuru uongozi wa chuo, wakishirikiana na Daruso kwa busara walizozitumia k uweza kuwasudisha hao wenzetu manakeee sijui nini kingètokea kama si kufungwa chuo.
Nikiripoti toka hapa hall 5 floor ya kwanza rum no mimi ni bampami wa Jffff!!