mkuu usiseme hivyo, unaweza kwenda kwenye kisanduku cha kura na hasira zote kwamba iwe na iweje huumpigii kura kufika pale ndio kwanza unapowe vema ya ndio bila kujua ndio kwake. inabidi tujue huyu jamaa alishinda kwa kura ngapi huko jimboni kwake, tunaweza pata picha
Dr. Ndodi naye amaeapa kuukwa ubunge 2015.
Mbunge wa Korogwe Vijijini Mr. Ngonyani au almaarufu Prof. Maji Marefu ameanza rasmi kuchangia bungeni sasa hivi. Na katika shukrani zake amewapongeza waganga wa jadi wote nchini kwa kumwuunga mkono na kuwezesha kuchaguliwa kwake.
Hii inamaanisha nini? ni kwamba huyu jamaa waganga au wachawi wamechangia kwa kiasi kikubwa katika kuchaguliwa kwake kuwa mbunge. Kwa maana nyingine huyu bwana ameingia bungeni kugombea maslahi ya waganga wenzake.
Na ameanza rasmi kuwaonya wanaowadharau na kuwa donoa donoa waganga wa jadi. Ameonya kila mtu inampasa aheshimu fani ya mwenzake
hii inanifanya ni amini kuwa hata waliopiga kura inawezekana kwa macho walionekana ni watu lakini kimazingaumbwe walikuwa ghosts na hii inaonyesha kwa mtaji huu atakuwa mbunge mpaka atakapoamua kuacha mwenyewe.
Mbunge wa Korogwe Vijijini Mr. Ngonyani au almaarufu Prof. Maji Marefu ameanza rasmi kuchangia bungeni sasa hivi. Na katika shukrani zake amewapongeza waganga wa jadi wote nchini kwa kumwuunga mkono na kuwezesha kuchaguliwa kwake.
Hii inamaanisha nini? ni kwamba huyu jamaa waganga au wachawi wamechangia kwa kiasi kikubwa katika kuchaguliwa kwake kuwa mbunge. Kwa maana nyingine huyu bwana ameingia bungeni kugombea maslahi ya waganga wenzake.
Na ameanza rasmi kuwaonya wanaowadharau na kuwa donoa donoa waganga wa jadi. Ameonya kila mtu inampasa aheshimu fani ya mwenzake
hii inanifanya ni amini kuwa hata waliopiga kura inawezekana kwa macho walionekana ni watu lakini kimazingaumbwe walikuwa ghosts na hii inaonyesha kwa mtaji huu atakuwa mbunge mpaka atakapoamua kuacha mwenyewe.