Stephen Ngonyani alias Prof. Maji Marefu amemshinda dokta Edmund Mndolwa kwa kula 12,441 dhidi ya 2,289 za Dokta Mndolwa. Naona bunge la safari hii lina watu kutoka 'matabaka yote'.
Zaidi soma hapa: http://www.habaritanzania.com/new/articles/110/1/Prof-Maji-Marefu-ataka-ubunge-Tanga
Zaidi soma hapa: http://www.habaritanzania.com/new/articles/110/1/Prof-Maji-Marefu-ataka-ubunge-Tanga