Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
Huyu akirudi...dawa ni akabatiziwe Arumeru...
Niliwahi kumsikia pale mjengoni akipigia debe miti shamba na kupinga watu wanaodharau waganga wa kienyeji,I wonder kwanini hataki tena kuwatumia kumtibu. This is double standard..kweli kinyozi hajinyoi.
..lakini kwanini Prof. Maji Marefu hakutafuta matibabu kwa mabingwa wenzake wa miti shamba, badala ya kwenda India??
Huyu jamaa ana majini wengi kuna kipindi enzi zile alikuja Dar akapandisha majini mtaa mzima ulitulia
Mh. Maji marefu anasumbuliwa na ugonjwa wa tumbo ambapo kwa sasa amepelekwa India, alianza kuugua tangu kikao cha Bunge kilichopita ambapo alilazwa hospital ya Mkoa wa dodoma'GENERAL' kisha akapelekwa muhimbili, lakini katibu wa bunge Dr Kashilila alithibitisha hilo na akasema kuwa kwa sasa amepelekwa
hospitali ya 'VIGOGO' ya APOLLO.
Hapa ndo naamini kuwa mganga hajigangi.