Mh. Maji marefu anasumbuliwa na ugonjwa wa tumbo ambapo kwa sasa amepelekwa India, alianza kuugua tangu kikao cha Bunge kilichopita ambapo alilazwa hospital ya Mkoa wa dodoma'GENERAL' kisha akapelekwa muhimbili, lakini katibu wa bunge Dr Kashilila alithibitisha hilo na akasema kuwa kwa sasa amepelekwa hospitali ya 'VIGOGO' ya APOLLO.
Hapa ndo naamini kuwa mganga hajigangi.
Hapa ndo naamini kuwa mganga hajigangi.