anajua akitaja chadema anawataja wakristo kwa hiyo anakuwa amepiga ndege wote kwa jiwe moja
Kweli kabisa kina Julius Mtatiro!
anajua akitaja chadema anawataja wakristo kwa hiyo anakuwa amepiga ndege wote kwa jiwe moja
anajua akitaja chadema anawataja wakristo kwa hiyo anakuwa amepiga ndege wote kwa jiwe moja
Huo ndio uungwana na ndio siasa za kistaarabu zinazotakiwa,sio ubaguzi
Kwa maana hiyo anamkubali Ndesa na Chadema kiaina
Kuomba ushauri kwa Ndesa pesa ni kupotea njia.Huyu si ndio alikuwa anataka mawaziri watumie helcopter kutembelea ili waone vizuri.
Anazeeka vibaya kweli!
Ndesapesa mwenyewe hata ubunge wenyewe anastaafu, Lipumba amepoteza mvuto hana tena sifa!
M/kiti wa Chama Cha CUF Prof Lipumba amesema akiingia madarakani kuongoza Tanzania atamtumia kamanda Mzee Ndesamburo kuimairisha utalii kwenye nchi yetu, amezungumza hayo wakati akihutubia wananchi wachache kwenye mkutano wa hadhara mkoani Kagera leo jioni.
My take: Nashukuru sana Prof. Lipumba kufahamu uwezo wa Mzee Ndesamburo, ila inaonekana kasha jitangazia kuwa mwaka 2015 atagombea tena.
Lipumba hana jipya la kuleta na isitoshe hakuna mtu wa kumchagua mchovu kama huyu anayeendeshwa na Maalim Seif wakati ana elimu kuliko yeye. Hana tofauti na makapi ya kisiasa kama Mrema, Cheyo, Mbatia, Kabwe, Kaboro, Wassira na wengine wengi.
anajua akitaja chadema anawataja wakristo kwa hiyo anakuwa amepiga ndege wote kwa jiwe moja