only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
M/kiti wa Chama Cha CUF Prof Lipumba amesema akiingia madarakani kuongoza Tanzania atamtumia kamanda Mzee Ndesamburo kuimairisha utalii kwenye nchi yetu, amezungumza hayo wakati akihutubia wananchi wachache kwenye mkutano wa hadhara mkoani Kagera leo jioni.
My take: Nashukuru sana Prof. Lipumba kufahamu uwezo wa Mzee Ndesamburo, ila inaonekana kasha jitangazia kuwa mwaka 2015 atagombea tena.
My take: Nashukuru sana Prof. Lipumba kufahamu uwezo wa Mzee Ndesamburo, ila inaonekana kasha jitangazia kuwa mwaka 2015 atagombea tena.