Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,304
Mwendawazimu si lazima aokote makopo! hata wewe kwa upuuzi huu uliouweka hapa ni uwandazimu tosha.
Yaani mtu kagombea urais mara 4 tofauti alafu eti unadai yeye ni rasilimali ya Tanzania!!? my foot!
Nakuhakikishia haitakuja kutokea Lipumba kuwa Rais wa nchi hii....yaani sahau hicho kitu kabisa! Ni rahisi mtoto wa Lipumba siku moja anaweza kuja kuwa Rais lakini si Lipumba mwenyewe....RIP CUF
Hakuna kazi ngumu na mbaya hapa duniani kama kuukataa ukweli....na kuufanya uongo ndiyo ukweli:Tafakari!