Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Ndio sababu hujaolewa sizitaki mbichi hizimtu anaweza kuishi fulfilled life bila kuoa,kwanza ndoa za siku hizi zimejaa stress tu....sio lazima kuoa!
Ndio sababu hujaolewa sizitaki mbichi hizimtu anaweza kuishi fulfilled life bila kuoa,kwanza ndoa za siku hizi zimejaa stress tu....sio lazima kuoa!
Ndio sababu hujaolewa sizitaki mbichi hizi
Mimi nimelewa? na wewe umeelemewa? Nadhani wewe ndiye hukuona uhusiano wa niliyoandika na wewe uliyoandika. Pole maana umeelemewa!sioni uhusiano wa maneno yangu na ulivyojibu?????kaka sijui dada umelewa pombe nini????:embarrassed::embarrassed:
Mimi nimelewa? na wewe umeelemewa? Nadhani wewe ndiye hukuona uhusiano wa niliyoandika na wewe uliyoandika. Pole maana umeelemewa!
hivi professor Lipumba kabla hajaingia katika siasa miaka ya 1990, alishawahi kufanya kazi gani hapa nchini?ningependa pia kupata maoni kutoka kwa watu ambao walishawahi fanya nae kazi au ishi katika mazingira fulani. nnaendelea kumpima katika viawango ili nijue kati ya proffesor na Dr nani waukweli zaidi theni nijitolee kumpigania kwa nguvi zangu zote.
haya mnaomjua lipumba wekeni mambo hadharani, karibuni sana.
ni bora kuwa bachelor kuliko kupora mke wa mtu ukaanza kuaibika bure,nahayo nimaisha yake binafci profesor lipumba,je mna uhakika gani kama hajaoa?au mnataka aje achumbie kwenu?profesor lipumba, hajiamini na hana msimamo, kamwe hawezi ingia humu jamvini na kujibu hoja zinazoyakabili maisha yake, anaeweza fanya hivyo wote tuna mjua ni Dr slaa tu.
prof. Lipumba ana mke na watoto. Mke wake anaitwa georgina mtenga anafanya kazi unicef hapa dar. Ila alimuoa baada ya georgina kutengana na mme wake wa kwanza (amezaa naye mtoto) anaitwa kweka. Ndio maana katika kampeni yake ya mwisho pale jangwani rais jk aliwakandia pro. Lipumba na dr. Slaa kwa kusema " wengine walichukuwa wake za watu( lipumba) na wengine wanachukua wake wa kuazima ( slaa)"
Hata Rais wa Botswana anafuta mke sasa, na Evo Morales wa Bolivia aliposhinda urais ndo alioa!.