I just wish this Prof was alocated somewhere, where Tanzanians can benefit from his ideas
Huwa nasema mara kwa mara, Lipumba ni genius, na bahati nzuri anatupenda Watz kwa vitendo, kuacha kufaidi mapato ya elimu na ujuzi wake kutetea umma wa watanzania.
Prof ni mtu ambaye Tanzania tuna bahati ya kuwa nae.
Huwa nasema mara kwa mara, Lipumba ni genius, na bahati nzuri anatupenda Watz kwa vitendo, kuacha kufaidi mapato ya elimu na ujuzi wake kutetea umma wa watanzania.
Prof ni mtu ambaye Tanzania tuna bahati ya kuwa nae.