Prof Lipumba kwenda SPAIN -Barcelona 28.3.2012

wameitwa ma professor watatu mmoja anatoka urusi, mwingine ulaya na m/kiti wa jopo la uchumi Duniani Prof Lipumba.
 
kiongozi mmoja wa cuf alisema lipumba ndio kiongozi pekee wa upinzani anaeweza kulikomboa taifa hili sio kiongozi wa bendi ya muziki wala DJ wa pale bilicanas aka bills
 
Mimi ni mmoja wao nilienda kumpokea pale air port baada ya ku danganywa kwenye masjid moja pale buguruni kuwa ni mwenyekiti wa maproff 500 lakini jf ikanifungua macho sitaki hata kumsikia tena Pambaf

Kwi...Kwi....Kwiiiiiiii.......Tehe.....Tehe........Teheeeeee......Kohoooooooo!!!!!!!!!
 
huyu ndio dira ya uchumi hivi sasa Duniani bila huyu Dunia inateketea kwa njaa haraka sana, ni juzi tu amerudi kurebisha mtikisiko wa uchumi Duniani, najua haya yanakuuma lakini mungu ndiye aliyempa uwezo, kama hutaki unanyukwa.

haya ndio madudu haya....hapo kwny BOLD inaonyesha jinsi ulivyo punguwani.
 
prof lipumba kama anapenda siasa na kuitakia nchi yake mema lazima atafute njia sahihi ya kufikia malengo yake, kwa kupitia CUF hana anachofanya labda kama sifa kwake ni kuwa mwenyekiti wa chama na kupewa nafasi ya kugombea urais kila uchaguzi unapokuja, kimsingi hata awe mwenyekiti wa maprofesa 1000, kitaaluma its OK, kwa siasa za tanzania hana umuhimu
 
Nakumbuka Dodoma kuna binti aliwahi kuwa "doctor" wa kutibu binadamu pale Hospitali ya Mkoa bila ya yeye mwenyewe kufikia kiwango cha elimu hata ya kidato cha nne!!
 
Mimi nashangaa sana wakuu,kwan nini profesa Lipumba mtaalam wa uchumi dunian saiombe kktana na JK nakumpa mbinu za kulikomboa taifa na hal mbaya ya uchumi nchini..........
 
amealikwa katika mkutano utakaojadili, "machafuko yanayoendelea ktk nchi za kiarabu na athari zake katika nchi nyingine" bado anaendelea na hasa anaelezea hali ya uchumi wa Tanzania umaskini unao wakabili waTanzania. nitaendelea kuwajuvya kinachoendelea, watu ni wengi mno.

Au jamaa ndo amechaguliwa kuwa mwanyekiti wa machafuko duniani?
 
huyu ndio dira ya uchumi hivi sasa Duniani bila huyu Dunia inateketea kwa njaa haraka sana, ni juzi tu amerudi kurebisha mtikisiko wa uchumi Duniani, najua haya yanakuuma lakini mungu ndiye aliyempa uwezo, kama hutaki unanyukwa.

With people like this, ukombozi wa kweli uko mbali sana.
 
Mimi nashangaa sana wakuu,kwan nini profesa Lipumba mtaalam wa uchumi dunian saiombe kktana na JK nakumpa mbinu za kulikomboa taifa na hal mbaya ya uchumi nchini..........
SUNRISE.

Unafikiri JK hajui kuwa Prof. Lipumba ni mchumi aliyebobea?

JK anateua washauri kila baada ya muda...kuna mama mmoja ameteuliwa kuwa Mshauri wa masuala ya diplomasia/ kidiplomasia juzi juzi tu. Kwa nini JK anashindwa kumwita ikulu Lipumba na kuomba ushauri wa kuimarisha uchumi wa TZ?

Kwa upofu katika uongozi wa TZ, wataalamu huwa wanajengewa mazingira magumu ya kazi na wanapodai haki au kushauri uboreshaji wa sekta husika huwa wanafukuzwa kazi/ wanaachishwa kazi.

Ukiongeza na siasa uchwara/ mipasho au kuona tabu kumpa nafasi/fursa mtu ang'are katika fani yake basi ndio tunaishia katika hali hii tulionayo katika nchi; ufisadi, rushwa na kuibiwa rasilimali na wageni kutokana na tamaa ya 10% na ubinafsi wa kutunisha akauti binafsi katika mabenki.

Ni aibu kwa taifa. Tuna wataalamu na wanasheria walio weledi katika fani yao lakini utasikia serikali imeingia mikataba mbovu. Unafikiri hili linafanyika kwa bahati mbaya/ uzembe?

Ukishangaa ya Musa,...................... Hii ndio Tanzania yetu!
 
Back
Top Bottom