amealikwa katika mkutano utakaojadili, "machafuko yanayoendelea ktk nchi za kiarabu na athari zake katika nchi nyingine" bado anaendelea na hasa anaelezea hali ya uchumi wa Tanzania umaskini unao wakabili waTanzania. nitaendelea kuwajuvya kinachoendelea, watu ni wengi mno.