MchukiaUonevu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 207
- 79
Anaongoza chama kiuchumi ebu ona hapa (Igunga Tshs Mil 150 = Kura 2000) @ Kura Tshs 75,000/=
Unataka kutushawishi nini..kuwa Mil 150 ilitakiwa inunue kura ngapi? Na vyama vingine vilitumia shilingi ngapi kununua kura ngapi!!