katika kutuliza hali ya hewa iliyokuwa imechafuliwa na kibaraka wa ccm Hamad Rashid mbunge wa wawi kupitia cuf, kesho mwenyekiti wa cuf ambaye ni Mwenyekiti wa jopo la uchumi Duniani kesho atawahutubia wakazi wa zanzibar na viunga vyake na baada yake kufanya hivyo kesho kutwa pemba.