akashube
JF-Expert Member
- Dec 24, 2009
- 401
- 23
Kama kuna wakati muhimu kwa chama cha wananchi CUF kufanya maamuzi ya busara basi wakati huo bila shaka ni sasa. Kwa kuwa CHADEMA kinamuuna mkono maalim Seif Zanzibar itakuwa ni jambo la busara kwa Prof Lipumba kumuunga mkono Dk Wilbrod Slaa hivi sasa ili awe mgombea wa Urais wa Muungano anayeungwa mkono pia na CUF.
Je hii haitamuhakikishia Prof Lipumba uwaziri mkuu, nafasi nyeti ya kushiriki kuunda serikali bora kabisa ya Muungano wa CHADEMA na CUF? Je wakuu wana JF hili mnalionaje?
Je huu sio wakati wa kumwaga udongo wa mwisho kwenye kaburi la CCM?
Je hii haitamuhakikishia Prof Lipumba uwaziri mkuu, nafasi nyeti ya kushiriki kuunda serikali bora kabisa ya Muungano wa CHADEMA na CUF? Je wakuu wana JF hili mnalionaje?
Je huu sio wakati wa kumwaga udongo wa mwisho kwenye kaburi la CCM?