Prof Lipumba Kujihakikishia Uwaziri Mkuu?

akashube

JF-Expert Member
Dec 24, 2009
401
23
Kama kuna wakati muhimu kwa chama cha wananchi CUF kufanya maamuzi ya busara basi wakati huo bila shaka ni sasa. Kwa kuwa CHADEMA kinamuuna mkono maalim Seif Zanzibar itakuwa ni jambo la busara kwa Prof Lipumba kumuunga mkono Dk Wilbrod Slaa hivi sasa ili awe mgombea wa Urais wa Muungano anayeungwa mkono pia na CUF.

Je hii haitamuhakikishia Prof Lipumba uwaziri mkuu, nafasi nyeti ya kushiriki kuunda serikali bora kabisa ya Muungano wa CHADEMA na CUF? Je wakuu wana JF hili mnalionaje?

Je huu sio wakati wa kumwaga udongo wa mwisho kwenye kaburi la CCM?
 
Kama kuna wakati muhimu kwa chama cha wananchi CUF kufanya maamuzi ya busara basi wakati huo bila shaka ni sasa. Kwa kuwa CHADEMA kinamuuna mkono maalim Seif Zanzibar itakuwa ni jambo la busara kwa Prof Lipumba kumuunga mkono Dk Wilbrod Slaa hivi sasa ili awe mgombea wa Urais wa Muungano anayeungwa mkono pia na CUF.

Je hii haitamuhakikishia Prof Lipumba uwaziri mkuu, nafasi nyeti ya kushiriki kuunda serikali bora kabisa ya Muungano wa CHADEMA na CUF? Je wakuu wana JF hili mnalionaje?

Je huu sio wakati wa kumwaga udongo wa mwisho kwenye kaburi la CCM?

mnaogopa utafiti?
 
Mi nakuwa na wasiwasi na wapinzani wengine. Kama kweli wapinzani wangeungana,ccm ingepumua? Naisi wengne wako kama mrema/shushushu aliyetumwa 1995 kuua upinzani. Lipumba akitaka kupata nchi amuunge mkono slaa,tupate Uhuru wa Tanzania.
 
hii ni idea nzuri ingawa sidhani kama itaweza kutokea kwani ndoto ya lipumba ni kuingia ikulu akiwa raisi!
 
Sheria iliyotungwa na CCM hairuhusu vyama kuungana katika kuunda serikali - labda iwe ni hiari (descresion) ya Rais mwenyewe. Cha maana tuwe na wabunge wengi tuipindue hii sheria ili nchi iwe na amani ya kweli.
 
Kazi hiyo CUF kamwe hawataifanya kwa sababu malengo yao ya kismingi yatofautiana na Chadema.

Mfano CUF wanataka nchi ijiunge na OIC na uanzishwaji wa mahakama za kadhi mambo ambayo Chadema haiafiki hata kidogo.
 
Mi nakuwa na wasiwasi na wapinzani wengine. Kama kweli wapinzani wangeungana,ccm ingepumua? Naisi wengne wako kama mrema/shushushu aliyetumwa 1995 kuua upinzani. Lipumba akitaka kupata nchi amuunge mkono slaa,tupate Uhuru wa Tanzania.
Gsana
Mimi pia nina mawazo kama yako, hivi kweli kama lengo ni moja kuondokana na hili dudu liumalo.... njia rahisi kuliko zote ilikuwa ni kusema Kura ambazo mngenipa mimi mpeni huyu... inakuwa kama kumsukuma mlevi.....
Still unakuwa uko within the sheria yao... na yeye akiwa Rais anasema naamua kumpa uwaziri mkuu/waziri wa fedha huyu bwana pamoja na kuwa anatoka chama kingine!!

Mi nadhani kama kweli wanatakia mema Taifa letu tukufu kuna haja ya kufikiria mikakati kama hii.
 
Kazi hiyo CUF kamwe hawataifanya kwa sababu malengo yao ya kismingi yatofautiana na Chadema.

Mfano CUF wanataka nchi ijiunge na OIC na uanzishwaji wa mahakama za kadhi mambo ambayo Chadema haiafiki hata kidogo.

lengo lingekuwa kuondokana na hawa wahuni kwanza!!! mengine yote yanawezekana tu....
Sasa kuliko kukosa yote kwa kugawana kura zetu si afadhali kukubaliana....
I wish watu wapate kufikiria hili....
 
Mi nakuwa na wasiwasi na wapinzani wengine. Kama kweli wapinzani wangeungana,ccm ingepumua? Naisi wengne wako kama mrema/shushushu aliyetumwa 1995 kuua upinzani. Lipumba akitaka kupata nchi amuunge mkono slaa,tupate Uhuru wa Tanzania.

Nakubaliana nawe kwenye RED, Tatizo la vyama vya siasa Tz ni kuganga njaa, ubinafsi na uroho wa madaraka. Wangekuwa na nia ya kuleta mapinduzi ya kweli dhidi ya CCM, wangeunda chama kimoja cha upinzani chenye nguvu kupambambana na CCM. Other wise, they are kidding.
 
Kazi hiyo CUF kamwe hawataifanya kwa sababu malengo yao ya kismingi yatofautiana na Chadema.

Mfano CUF wanataka nchi ijiunge na OIC na uanzishwaji wa mahakama za kadhi mambo ambayo Chadema haiafiki hata kidogo.
Rutashubanyuma

Inawezekana ingawa ni ngumu kwa kila upande, lakini malengo nini siyo misaafu kwamba haiwezi kubadilishwa. Kumbuka Conservative na Liberal dems za UK zilikuwa na misimamo tofauti hadi siku ya uchaguzi lakini baada ya uchaguzi siku mbili zilitosha kubadili malengo yao.
 
mtuache tutaunda serikali wenyewe bana

Kigogo
Sikatai hilo lawezekana, lakini je unavyofikiria kwa kuwa na makubaliano ya namna hiyo, yenye lengo moja muhimu kwanza kuwang'oa CCM, hivi huoni kuwa close to 100% success inakuwa guaranteed?
 
katiba inasema ili uwe waziri mkuu lazima utokane na chama chenye wabunge wangi, na uwe mbunge wa kuchaguliwa. Lipumba siyo mbunge
 
CUF NI CCM B SASA UNATEGEMEA NINI?

kikwete+lipumba+seif+3.JPG




kikwete-lipumba.jpg


kikwete+lipumba+seif+1.jpg



8E9U1564.jpg
 
Hujui kuwa ccm na cuf wameingia kwenye maridhiano?Wakimuunga Slaa basi watakuwa wanajihatarishia nafasi yao huko Zanzibar.
 
Hujui kuwa ccm na cuf wameingia kwenye maridhiano?Wakimuunga Slaa basi watakuwa wanajihatarishia nafasi yao huko Zanzibar.

Kwa kweli nimeamini CUF = CCM Underground Family, mie namfuhamu mkewe Lipumba huwa anadai kuwa mumewe ni CCM damu na kadi yao anayo mpaka leo
 
Kama kuna wakati muhimu kwa chama cha wananchi CUF kufanya maamuzi ya busara basi wakati huo bila shaka ni sasa. Kwa kuwa CHADEMA kinamuuna mkono maalim Seif Zanzibar itakuwa ni jambo la busara kwa Prof Lipumba kumuunga mkono Dk Wilbrod Slaa hivi sasa ili awe mgombea wa Urais wa Muungano anayeungwa mkono pia na CUF.

Je hii haitamuhakikishia Prof Lipumba uwaziri mkuu, nafasi nyeti ya kushiriki kuunda serikali bora kabisa ya Muungano wa CHADEMA na CUF? Je wakuu wana JF hili mnalionaje?

Je huu sio wakati wa kumwaga udongo wa mwisho kwenye kaburi la CCM?

Acheni usanii mkuu!! Kwa CHADEMA gani ya kuiachia CUF ZNZ?! Ni kura ngapi ambazo CHADEMA ingepata ZNZ ambazo imeamua kuwaachia CUF?! Pigeni mzigo, acheni ujanjaujanja!!
 
Je hii haitamuhakikishia Prof Lipumba uwaziri mkuu, nafasi nyeti ya kushiriki kuunda serikali bora kabisa ya Muungano wa CHADEMA na CUF? Je wakuu wana JF hili mnalionaje?

Je huu sio wakati wa kumwaga udongo wa mwisho kwenye kaburi la CCM?

Mkuu, una maana Uwaziri Mkuu KIVULI?
 
Back
Top Bottom