Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,726
- 14,608
mböna pesa ya kawaida sana hyo?
Umeshawahi kamata billion wewe?
mböna pesa ya kawaida sana hyo?
mböna pesa ya kawaida sana hyo?
#
Tunamsubiria 2015aje kugombea urais kupitia COUGH!
Weka data za thread yako na pia chanzo cha taarifaBodi ya wachumi duniani, kichwa.
Hivi Slaa anaweza fanya kazi gani huko duniani kwa taaluma yake? Katibu wa baraza la maaskofu wa dunia???!!!
Kaifanyia nini Tanzania na hicho kichwa chake?
hawajamfukuza?#
Tunamsubiria 2015aje kugombea urais kupitia COUGH!
Igwe, unajua kuwa concept ya management agencies ni brain child ya Prof Lipumba? Aliwaambia Mwinyi na Kigoma Malima (Malima akiwa waziri wa fedha nae akiwa mshauri wa uchumi) kuwa income tax department iwe independent wakamuona juha. Museveni alipomchukua at the same capacity na aka implement concept hiyo Uganda na performance ya URA ikawa bomba tukalazimishwa na world bank kufuata model hiyo hiyo!
Kubali usikubali, Prof ni kichwa japo si politician.
hawezi kugombea tena,bora aendelee na kazi yake#
Tunamsubiria 2015aje kugombea urais kupitia COUGH!
Kaifanyia nini Tanzania na hicho kichwa chake?[/QUKumbuka kwa Tz wanasiasa ndiyo wenye maamuzi ya mwisho na kwa katiba yetu mtaalam hana namna ya kulifanya wazo lake lifanye kazi zaidi ya kuisha kwenye makabrasha
#
Tunamsubiria 2015aje kugombea urais kupitia COUGH!
Mkuu tuweke mambo sawa: Uganda Revenue Authority iliperform vizuri kutokana na kazi nzuri aliyoifanya Mtanganyika aitwaye BC Mwenda miaka ya 90 ambaye kabla ya hapo alikuwa Commissioner of Income Tax Tanzania. Rais wa Uganda hakusita kumsifu wazi wazi. Prof Lipumba huenda alishauri uanzishwaji wa URA lakini hakushiriki katika uendeshwaji wake.
Same thing.Hiyo ni 2.8 bilioni na siyo 2800 milion