Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
WanaJF Nauliza: Hivi Kiongozi Mkuu (Mwenyekiti) wa CUF alishawahi kupata position ya kuchaguliwa (elective post) kitaifa? Alishawahi, kwa mfano, kuchaguliwa kuwa Mbunge? Sikumbuki sawasawa.
Nasema hivi kwa sababu katika vyama karibu vyote vikuu vya kisiasa sasa hivi -- yaani CCM, Chadema, TLP, NCCR, UDP viongozi wake wakuu (wenyeviti) ama ni wabunge sasa hivi au walishawahi kuwa wabunge huko nyuma.
Inakuaje kwa CUF si hivyo? Nauliza tu na ninafahamu fika kwamba siyo lazima mwenyekiti wa chama cha siasa awe Mbunge. Pia nafahamu fika kwamba Profesa ni mgombea urais wa kudumu mzuri hapa nchini, lakini rekodi inaonyesha hajawahi kabisa kuchaguliwa kwa nafasi yoyote kwa njia ya kura, ukiacha kugombea kwake katika chaguzi za ndani ya chama chake. Jee inawezekana akastaafu siasa bila ya kupata elective post yopyote?
Nawasilisha.
Nasema hivi kwa sababu katika vyama karibu vyote vikuu vya kisiasa sasa hivi -- yaani CCM, Chadema, TLP, NCCR, UDP viongozi wake wakuu (wenyeviti) ama ni wabunge sasa hivi au walishawahi kuwa wabunge huko nyuma.
Inakuaje kwa CUF si hivyo? Nauliza tu na ninafahamu fika kwamba siyo lazima mwenyekiti wa chama cha siasa awe Mbunge. Pia nafahamu fika kwamba Profesa ni mgombea urais wa kudumu mzuri hapa nchini, lakini rekodi inaonyesha hajawahi kabisa kuchaguliwa kwa nafasi yoyote kwa njia ya kura, ukiacha kugombea kwake katika chaguzi za ndani ya chama chake. Jee inawezekana akastaafu siasa bila ya kupata elective post yopyote?
Nawasilisha.