only83 JF-Expert Member Oct 15, 2010 5,343 2,525 Mar 12, 2012 #1 ..Asema chama lazima kilinde nidhamu na kama mtu hataki kuwa na nidhamu tupiganie kuwa na mgombea binafsi, source:channel ten
..Asema chama lazima kilinde nidhamu na kama mtu hataki kuwa na nidhamu tupiganie kuwa na mgombea binafsi, source:channel ten
MNYISANZU JF-Expert Member Oct 21, 2011 7,048 1,102 Mar 12, 2012 #2 Mfa maji asiyeacha kutapatapa. Rest in everlasting fire CUF.
Mchochezi JF-Expert Member Feb 29, 2012 10,414 6,574 Mar 12, 2012 #4 time ni ukuta..cuf imeshakufa watu tunasubiri arobain tumalize shughuli yoote. Prof aamie CDM
MotoYaMbongo JF-Expert Member Jan 7, 2008 2,146 884 Mar 12, 2012 #5 Walitegema Prof. Akatae kufukuzwa kwa Hamad ili akasonane na mwenye chama ndg Maalim Seif, hakuna kitu kama hicho. Hata Prof. Nae anaburuzwa tu.
Walitegema Prof. Akatae kufukuzwa kwa Hamad ili akasonane na mwenye chama ndg Maalim Seif, hakuna kitu kama hicho. Hata Prof. Nae anaburuzwa tu.
masopakyindi Platinum Member Jul 5, 2011 17,882 13,171 Mar 12, 2012 #6 MotoYaMbongo said: Walitegema Prof. Akatae kufukuzwa kwa Hamad ili akasonane na mwenye chama ndg Maalim Seif, hakuna kitu kama hicho. Hata Prof. Nae anaburuzwa tu. Click to expand... What did we expect? Lipumba ni mnyamwezi wa kubeba mzigo mzito,chairman wa CUF wa convenience.
MotoYaMbongo said: Walitegema Prof. Akatae kufukuzwa kwa Hamad ili akasonane na mwenye chama ndg Maalim Seif, hakuna kitu kama hicho. Hata Prof. Nae anaburuzwa tu. Click to expand... What did we expect? Lipumba ni mnyamwezi wa kubeba mzigo mzito,chairman wa CUF wa convenience.
Njowepo JF-Expert Member Feb 26, 2008 9,710 2,226 Mar 12, 2012 #7 Lipumba mchumi uliyebobea achana na siasa!