Endangered
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 922
- 228
Time will tell us, shukran Kunguru Mweusi kwa taarifa
Last edited by a moderator:
WAKATI macho na masikio ya Watanzania yakielekezwa kwa Rais Jakaya Kikwete aliyeahidi kufanya mabadiliko makubwa kwenye baraza lake la mawaziri, jina la Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ni miongoni mwa majina yanayotajwa kuwapo kwenye baraza hilo, Tanzania Daima Jumatano limebaini.
Good quote GCNa nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu. (Mambo ya Walawi 11:07-08)
Hakuna kitu kinachoingia ndani ya mtu kutoka nje kinachoweza kumtia mtu najisi. Lakini kimtokacho moyoni ndo chamtia najisi.Kwa maana hakimwingii moyoni ila tumboni, na baadaye hutolewa nje chooni. Kinachotoka ndani ya mtu ndicho kinachomtia najisi.mawazo mabaya, uasherati,wizi,uuaji,uzinzi,uchoyo,uovu,udanganyifu,ufisadi,wivu,kashfa,kiburi na upumbavu. Hayo ndo yamtia mtu unajisi. Marco 7:14-23. Mungu amehalalisha vyakula vyote.Ndugu kitimoto halali yako.Good quote GC
tatizo huwa tunachagua cha kufuata....
Pia alisema tusisengenye, tusiabudu uchawi, tusiue, tusilawiti, tusidhulumu.... nk
Hayo yote hatufuati, bali hili la nguruwe, ni rahisi kufuata kwani kuna sungura, ngombe, ngamia, samaki, mbuzi nk.
SASA ASIFA HABARI NKASI WATAMPA UBUNGE WA KUTEULIWA??
WAKATI macho na masikio ya Watanzania yakielekezwa kwa Rais Jakaya Kikwete aliyeahidi kufanya mabadiliko makubwa kwenye baraza lake la mawaziri, jina la Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ni miongoni mwa majina yanayotajwa kuwapo kwenye baraza hilo, Tanzania Daima Jumatano limebaini.
Profesa Lipumba ambaye si miongoni mwa wabunge, anatajwa kuwa mmoja wa mawaziri watakaoteuliwa kutoka nje ya wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM).
Rais Kikwete ambaye tayari ameshapata baraka za Kamati Kuu (CC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kufanya mabadiliko, anatarajia kutangaza mawaziri wapya wakati wowote kutoka sasa baada ya mawaziri wake wanane kukumbwa na kashfa ya ufisadi iliyoibuliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Duru za kisiasa kutoka ndani ya CCM na CUF, zinaeleza kuwa Rais Kikwete anatarajia kumwingiza Profesa Lipumba kwenye baraza lake na kwamba anaweza kumpa wizara ya Fedha na Uchumi.
Kuna taarifa kwamba Profesa Lipumba anaweza kuwa miongoni mwa sura mpya za mawaziri. Anachoweza kufanya Rais ni kumteua kuwa mbunge, kisha kumpa uwaziri.
Na kwa vile Bunge linatarajiwa kukutana Juni 12 mjini Dodoma, kama kuna watu kutoka nje ya Bunge ambao Rais anataka wawemo kwenye baraza lake, anaweza kuwateua kuwa wabunge na mawaziri wateule hadi hapo watakapoapishwa bungeni, ndipo ataweza sasa kuwaapisha kuwa mawaziri, kilisema chanzo chetu cha habari.
Alipoulizwa na gazeti hili kwa njia ya simu, Profesa Lipumba alisema kuwa hawezi kuzungumzia uvumi huo kwani hata yeye ameusikia kutoka kwa watu mbalimbali.
Siwezi kuzungumzia nafasi yangu kuhusu taarifa hiyo, lakini ukweli ni kwamba hadi sasa sijaitwa na Rais kwa ajili ya mashauriano yoyote kuhusu jambo hilo na kimsingi najua kama ana mpango huo, angeniita, lakini sijaitwa na sina taarifa, alisema Profesa Lipumba.
Mwenyekiti huyo wa CUF ambaye ni mchumi, alisema kuwa amepigiwa simu na vyombo vya habari kadhaa pamoja na watu wengine kumuulizia jambo hilo ambalo alisisitiza ni uvumi usio na ukweli wowote.
hilo gazeti ndo linawatiaga jambajamba kurugenzi ya mawasiliano pale mahakama ya samaki.magazeti uchwara kama Tz Daima.
Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu. (Mambo ya Walawi 11:07-08)
good quote gc
tatizo huwa tunachagua cha kufuata....
Pia alisema tusisengenye, tusiabudu uchawi, tusiue, tusilawiti, tusidhulumu.... Nk
hayo yote hatufuati, bali hili la nguruwe, ni rahisi kufuata kwani kuna sungura, ngombe, ngamia, samaki, mbuzi nk.
Sasa asifa habari nkasi watampa ubunge wa kuteuliwa??
kwahiyo kula nguruwe sio issue eh??Hakuna kitu kinachoingia ndani ya mtu kutoka nje kinachoweza kumtia mtu najisi. Lakini kimtokacho moyoni ndo chamtia najisi.Kwa maana hakimwingii moyoni ila tumboni, na baadaye hutolewa nje chooni. Kinachotoka ndani ya mtu ndicho kinachomtia najisi.mawazo mabaya, uasherati,wizi,uuaji,uzinzi,uchoyo,uovu,udanganyifu,ufisadi,wivu,kashfa,kiburi na upumbavu. Hayo ndo yamtia mtu unajisi. Marco 7:14-23. Mungu amehalalisha vyakula vyote.Ndugu kitimoto halali yako.
.