Supervisor
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 559
- 207
Akichangia leo Bungeni Mh. Prof Juma Kapuya amesema elimu ya Tanzania kwa sasa ni duni sana, Wandishi wa Habari hawajui kabisa kuongea Ki English, ndo maana wanashindwa kuhoji chochote wakikutana na Mtu ambaye hajui Kiswahili.
-----------------
My take.
Kawachokoza mwenyewe. Ngoja waje wenyewe na Kiswahili chao. Asikimbie tu...
-----------------
My take.
Kawachokoza mwenyewe. Ngoja waje wenyewe na Kiswahili chao. Asikimbie tu...