Prof. I. Lipumba: Vyama Vya Upinzani Kuaandaa Maadamano Nchi Nzima Kumshinikiza JK Kuchukua Hatua.

Sababu kubwa Chadema wanasema CUF ni CCM B sasa kuna maandamano hapo kama yatakuwepo Chadema hawawezi kushiriki.

Kumbuka cdm wako teyari kufanya chochote kwa manufaa ya taifa alimradi wasivunje sheria na ndo maana hata walikubali kuingia ikulu ili kutafuta mstakabali mwafaka ambao ulikuwa na maslahi kwa taifa na naamini na hili kwa vile wanajua ni kwa maslahi ya taifa kamwe hawatosita kushiriki na zaidi nadhani hata baadhi ya wanachama wa ccm wenye uchungu na hii nchi watajitokeza kwa pamoja kushinikiza uwajibikaji
 
C.d.m sio chama cha upinzani au unaona cuf ni c.c.m?cuf bara na cdm wote ni wapinzani,magamba mlifanya hila tu kuwachachafya cuf Znz ili waingie ndoa ya lazima na nyie!bara mmejaribu kuleta sumu zenu za udini ili kudhohofisha upinzani ila mmestukiwa,wapinzani wanaanza kuwa na lengo moja sasa!sahihi za kutokua na imani kwa pm nh mwanzo mzuri

hiyo kura ya kutokuwa na imani na pm hatutoisubiria tena kwani wanaweza kuchakachua ama kuendelea kumtumia bi kiroboto kuzima hoja sasa ni nguvu ya uma tu ndo itawang'oa wote kuanzia upepo wa kisiasa mpaka anaowatetea
 
Leo hii Chadema ndio wanajua kuwa kuna vyama vingine vya upinzani Tanzania siasa kweli mchezo mchafu...
 
mkono kwa zaidi ya 100%,uhamasishaji uwe wa nguvu sana,kwenye Radio, TV, magazeti na utaratibu utangazwe kuanzia ngazi ya kijiji tuandamane kuelekea wapi! Waandishi wa habari tuandalieni coverage ya kufa mtu.
 

Good observation.

Siasa bana! Huyo Lipumba na chama chake wanatafuta namna ya kutoka baada ya kuanza kusahaulika. Well, la msingi huyo mtu anayeitwa Jusa huko huko Zanzibar. Kwa ubaguzi wake hahitajiki Tanganyika.

Huyo Jusa ndio mdudu gani? Lisionekane huku Tanganyika na ubaguzi wake, likija katika hayo maandamano ya ukombozi wa Tanganyika tutalitia mawe.
 
angetangaza maandamo dk slaa serikali ingeogopa.kumbe ni lipumba yeye kila siku anamtukuza kikwete.
 
Good observation. Siasa bana! Huyo Lipumba na chama chake wanatafuta namna ya kutoka baada ya kuanza kusahaulika. Well, la msingi huyo mtu anayeitwa Jusa huko huko Zanzibar. Kwa ubaguzi wake hahitajiki Tanganyika.
Huyo Jusa ndio mdudu gani? Lisionekane huku Tanganyika na ubaguzi wake, likija katika hayo maandamano ya ukombozi wa Tanganyika tutalitia mawe.
 
Akihojiwa na Ch.10 amesema ameshapokea mapendekezo kutoka kwa wananchi mbali mbali na kwa sasa wanafanya mpango wa maandamano ya nchi nzima yatakayoshirikisha vyama vyote vya upinzani ili kumshinikiza "the so called president" yaani "JK" kuwachukulia hatua mawaziri wabadhirifu wa mali za umma. Hili naliunga mkono kwa asilimia mia.


Source: Taarifa ya Habari Ch.10.

Hii tufani jk anayodhani inapita na iondoke nae tu
 
maandamano hayo yangepewa jina la maandamano ya wananchi nchi nzima badala ya vyama vya upinzani naona mimi kwa mtazamo wangu pana dosari kubwa .nashauri yaitishwe maandamano ya wananchi
 
Back
Top Bottom