1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 603
wamemiss virungu na maji ya kuwasha...ila itapendeza kama kwenye hayo maandamano viongozi ndio watakuwa mbele.
Tahariri square style!hata risasi za moto ziwepo,tena ndio zitazidisha hasira kutoka kwenye kutaka uwajibishwaji wa wezi mpaka kuondoa anaekumbatia wezi!na tutafunga airport,bandari na road,hakuna kukimbia mtu mpaka tuwahukumu kwa dhambi walizofanya!