melxkb
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 206
- 56
Akihojiwa na Ch.10 amesema ameshapokea mapendekezo kutoka kwa wananchi mbali mbali na kwa sasa wanafanya mpango wa maandamano ya nchi nzima yatakayoshirikisha vyama vyote vya upinzani ili kumshinikiza "the so called president" yaani "JK" kuwachukulia hatua mawaziri wabadhirifu wa mali za umma. Hili naliunga mkono kwa asilimia mia.
Source: Taarifa ya Habari Ch.10.
Source: Taarifa ya Habari Ch.10.