Prof David Mwakyusa ampoza Bw. Richard Kasesela kwa kumpa ujumbe wa bodi

Nafikiri kwa alichofanya prof. Mwakyusa inabidi tumpongeze na sio kumlaumu.

Kwa Tanzania yenye mijitu iliyojaa chuki kupita kiasi, kitendo cha prof. Mwakyusa kumteua mpinzani wake tena baada ya zoezi la uchaguzi kuisha mimi nakiona kama cha ujasiri mkubwa. Labda kitu cha kujiuliza hapa ni je Kasesela ana sifa kwa nafasi aliyopewa? Kama ana sifa mimi sioni ubaya wowote. Kasesela kupewa hicho cheo hakumpunguzii nafasi ya kugombea 2015 na huenda kuna mwongezea. Habari nyepese nyepesi za hayo maeneo ni kwamba Kasesela alimshinda prof. kwenye kura za maoni ila wajanja wakaamua kuchakachua kura.

Prof. Mwakyusa ni binadamu sana hata katika maisha yake ya kawaida na labda ni tofauti na wanasiasa wetu wengi tulio wazoea.

Huyo aliyempa cheo kaka yake ni suala tofauti kabisa.
 
ahahahaha...PCCB kazi mnayo...maana naanza kuona aina mpya kabisa za rushwa nchi hii kiasi kwamba hazipo kwenye kamusi ya rushwa zoote duniani...RUSHWA BAADA YA KUMSHINDA MPINZANI WAKO.....
 
Pia kamteua dada yake kasesera anaeitwa dr subilaga kasesela -kaganda kuwa mjumbe wa bodi ya tfda iliyozundiliwa mwanzoni mwa mwezi aug 2010 huko dodoma.tfda ni mamlaka iliyo chini ya wizara ya afya.
 
Nafikiri kwa alichofanya prof. Mwakyusa inabidi tumpongeze na sio kumlaumu.

Kwa Tanzania yenye mijitu iliyojaa chuki kupita kiasi, kitendo cha prof. Mwakyusa kumteua mpinzani wake tena baada ya zoezi la uchaguzi kuisha mimi nakiona kama cha ujasiri mkubwa. Labda kitu cha kujiuliza hapa ni je Kasesela ana sifa kwa nafasi aliyopewa? Kama ana sifa mimi sioni ubaya wowote. Kasesela kupewa hicho cheo hakumpunguzii nafasi ya kugombea 2015 na huenda kuna mwongezea. Habari nyepese nyepesi za hayo maeneo ni kwamba Kasesela alimshinda prof. kwenye kura za maoni ila wajanja wakaamua kuchakachua kura.

Prof. Mwakyusa ni binadamu sana hata katika maisha yake ya kawaida na labda ni tofauti na wanasiasa wetu wengi tulio wazoea.

Huyo aliyempa cheo kaka yake ni suala tofauti kabisa.

Mzee, hiyo ni rushwa mbel kwa mbele. Jamaa ana plan ya 2015 asiwe na mpinzani, hivyo anajaribu kumpoza jamaa in advance.
 
Nafikiri kwa alichofanya prof. Mwakyusa inabidi tumpongeze na sio kumlaumu.

Kwa Tanzania yenye mijitu iliyojaa chuki kupita kiasi, kitendo cha prof. Mwakyusa kumteua mpinzani wake tena baada ya zoezi la uchaguzi kuisha mimi nakiona kama cha ujasiri mkubwa. Labda kitu cha kujiuliza hapa ni je Kasesela ana sifa kwa nafasi aliyopewa? Kama ana sifa mimi sioni ubaya wowote. Kasesela kupewa hicho cheo hakumpunguzii nafasi ya kugombea 2015 na huenda kuna mwongezea. Habari nyepese nyepesi za hayo maeneo ni kwamba Kasesela alimshinda prof. kwenye kura za maoni ila wajanja wakaamua kuchakachua kura.

Prof. Mwakyusa ni binadamu sana hata katika maisha yake ya kawaida na labda ni tofauti na wanasiasa wetu wengi tulio wazoea.

Huyo aliyempa cheo kaka yake ni suala tofauti kabisa.

Acha hizo! Hii ni rushwa. Kwani huo uteuzi haukuweza kusubiri baada ya uchaguzi ambapo inawezekana kabisa Prof asiwe Waziri wa Afya tena?.
 
Kikwete akikusikia unalalamikia undugulism na rushwa (kama ya Mwakyusa) JF itafungwa! So better keep quiet CCM wasikusikie. By the way, Mawaziri wanapoteua mtu wanadeclare CONFLICT OF INTEREST?
 
Hakuna cha ajabu hapo. Process ya kuteuwa bodi inachukuwa muda na hata kabla ya uchaguzi mchakato ulishaanza! Kwa Mwakyusa kumteua Kasesela ni kitu cha kiungwana kisicho na kinyongo. Kasesela kwa vyovyote vile lazima amuunge mkono Mwakyusa katika kampeni dhidi ya wagombea wa vyama m'badala kwani hiyo ni kanuni ya CCM na ukikataa utasambaratishwa mbali kabisa!
 
Nafikiri kwa alichofanya prof. Mwakyusa inabidi tumpongeze na sio kumlaumu.

Kwa Tanzania yenye mijitu iliyojaa chuki kupita kiasi, kitendo cha prof. Mwakyusa kumteua mpinzani wake tena baada ya zoezi la uchaguzi kuisha mimi nakiona kama cha ujasiri mkubwa. Labda kitu cha kujiuliza hapa ni je Kasesela ana sifa kwa nafasi aliyopewa? Kama ana sifa mimi sioni ubaya wowote. Kasesela kupewa hicho cheo hakumpunguzii nafasi ya kugombea 2015 na huenda kuna mwongezea. Habari nyepese nyepesi za hayo maeneo ni kwamba Kasesela alimshinda prof. kwenye kura za maoni ila wajanja wakaamua kuchakachua kura.

Prof. Mwakyusa ni binadamu sana hata katika maisha yake ya kawaida na labda ni tofauti na wanasiasa wetu wengi tulio wazoea.

Huyo aliyempa cheo kaka yake ni suala tofauti kabisa.

Mzee, huoni kuwa hii huenda ikawa ni rushwa. Je kama wapambe wa Kasesela wangeamua kupigia upinzani? Kumbuka huyu alimshinda mwenzake kwa kura chache sana
 
Nafikiri kwa alichofanya prof. Mwakyusa inabidi tumpongeze na sio kumlaumu.

Kwa Tanzania yenye mijitu iliyojaa chuki kupita kiasi, kitendo cha prof. Mwakyusa kumteua mpinzani wake tena baada ya zoezi la uchaguzi kuisha mimi nakiona kama cha ujasiri mkubwa. Labda kitu cha kujiuliza hapa ni je Kasesela ana sifa kwa nafasi aliyopewa? Kama ana sifa mimi sioni ubaya wowote. Kasesela kupewa hicho cheo hakumpunguzii nafasi ya kugombea 2015 na huenda kuna mwongezea. Habari nyepese nyepesi za hayo maeneo ni kwamba Kasesela alimshinda prof. kwenye kura za maoni ila wajanja wakaamua kuchakachua kura.

Prof. Mwakyusa ni binadamu sana hata katika maisha yake ya kawaida na labda ni tofauti na wanasiasa wetu wengi tulio wazoea.

Huyo aliyempa cheo kaka yake ni suala tofauti kabisa.

Kwa hili ntakupinga hadi mwisho

Kuna dots huzijui
kuna s*****a kapewa bodi TFDA, kakamtu richard kapewa bodi MOI.... Katibu mkuu ni Mama Nyoni, waziri ni Mwakyusa... hao siblings wamekulia regent jirani na JK

sasa basi.... kama ungejua kilicho chini ya kapeti, wala usingesema hivyo

CHEZO LOTE LIKO PUBLIC NA IKIGUNDULIKA, NI BALAA

ni basi tu
 
Mzee, huoni kuwa hii huenda ikawa ni rushwa. Je kama wapambe wa Kasesela wangeamua kupigia upinzani? Kumbuka huyu alimshinda mwenzake kwa kura chache sana

Prof. Mwakyusa amepita bila kupingwa na wala alikuwa hahitaji mtu wa kumsaidia katika kupambana na Wapinzani.

Ukiangalia upande mwingine wa shilingi, unahitaji moyo sana kufanya alichofanya huyu profesa. Wengi wetu tunawatakia wapinzani wetu mabaya ili ikiwezekana hata waadhirike mitaani.

Kama Kasesela ana sifa za hiyo kazi aliyopewa mimi nampa sifa Mwakyusa kwa ujasiri huo wa kumpenda adui yake.

Inaelekea Acid anajua zaidi na labda atusaidie vinginevyo inabidi kukubali kwamba alichofanya prof ni uungwana mkubwa sana.
 
Prof. Mwakyusa amepita bila kupingwa na wala alikuwa hahitaji mtu wa kumsaidia katika kupambana na Wapinzani.

Ukiangalia upande mwingine wa shilingi, unahitaji moyo sana kufanya alichofanya huyu profesa. Wengi wetu tunawatakia wapinzani wetu mabaya ili ikiwezekana hata waadhirike mitaani.

Kama Kasesela ana sifa za hiyo kazi aliyopewa mimi nampa sifa Mwakyusa kwa ujasiri huo wa kumpenda adui yake.

Inaelekea Acid anajua zaidi na labda atusaidie vinginevyo inabidi kukubali kwamba alichofanya prof ni uungwana mkubwa sana.

Mkulima

to be honest, miminadhani influence ya Richard kupata ina msukumo zaidi na si mwakyusa pekee...:A S 8:
 
Kwani huyo Prof. Mwakyusa ameshateuliwa tena kuwa waziri wa Afya?
Tanzania eeh, Tanzania aah,...nchi yangu eeh
 
hongera richard

hii familia wana bahati sana maana naona dada mtu alipata ujumbe wa bodi ya TACAIDS juzi tu hapa... Mama Nyoni, Dr. Mwakyusa...hongereni sana kwa kuona hawa watu

Nilidhania kazi ya uteuzi wa bodi kimamlaka ni ya waziri husika na katika hili la wakina Kasesela nadhani Mwakyusa ndio mhusika mkuu na sio mama Nyoni!! Acheni kumpakazia mama wa watu she is doing a fantastic job cleaning that Ministry.
 
Back
Top Bottom