Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Ndugu watanzania na wana JF wenzangu, kwa masikitiko makubwa napenda kuwajulisha habari ya msiba wa Prof. Daimon Mwaga aliyefariki jana usiku 8/2/2011 jijini Dar es salaam. Marehemu alikuwa anasumbuliwa na moja ya body organs.
Marehemu aliwahi kuwa mbunge wa Kibakwe (Dodoma) kabla ya kushindwa kwenye kura za maoni (2005) na Mh. Simbachawene. Baadaye alijiunga na chuo kikuu cha St. John kilichoko Dodoma. Hadi mauti inamfika Prof. Mwaga alikuwa Deputy Vice Chancellor (Academics).
Poleni familia (mmoja wa wanae ni memba hapa).
Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi.
Amina.
Naamini hili jukwaa ni mahala pake kwa sababu marehemu aliwahi kuwa mwanasiasa.
Nataarifisha.
Marehemu aliwahi kuwa mbunge wa Kibakwe (Dodoma) kabla ya kushindwa kwenye kura za maoni (2005) na Mh. Simbachawene. Baadaye alijiunga na chuo kikuu cha St. John kilichoko Dodoma. Hadi mauti inamfika Prof. Mwaga alikuwa Deputy Vice Chancellor (Academics).
Poleni familia (mmoja wa wanae ni memba hapa).
Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi.
Amina.
Naamini hili jukwaa ni mahala pake kwa sababu marehemu aliwahi kuwa mwanasiasa.
Nataarifisha.