MKWECHE
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 299
- 64
Prof. Mahalu ameanza kujitetea jana mahakamani katika kesi yake ya Uhujumu uchumi inayomkabili na Kuwataja Mabosi wake enzi hizo akiwa Balozi wa Italy kwamba aliwaarifu kinachoendelea katika ufanyaji wake wa Kazi!
Mabosi hao ni Rais na waziri wa Mambo ya nje enzi hizo.
Mabosi hao ni Rais na waziri wa Mambo ya nje enzi hizo.