Mbugi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,488
- 257
"Ukiona mtu nyumbani kwake kajenga ukuta mrefu na mageti mazito UJUE ni mwizi na kimsingi anahofu ya kuvamiwa na aliowazulumu haki yao" nenda msasani kwa mwalimu hana ukuta huo wala geti na kimsingi hakuwa na hofu na wala hakuwahi kuwazulumu watu. - prof chachage
Katika moja ya kile ambacho professor chachage aliwahi sema na sasa kimetimia ni juu ya viongozi wetu mafisadi na tabia yao ya kujiwekea kuta na mageti makubwa kama vile haitoshi wanaweka walinzi na pia ktk pilo zao hawakosi pisto.
Katika moja ya kile ambacho professor chachage aliwahi sema na sasa kimetimia ni juu ya viongozi wetu mafisadi na tabia yao ya kujiwekea kuta na mageti makubwa kama vile haitoshi wanaweka walinzi na pia ktk pilo zao hawakosi pisto.