Prof. Baregu aeleza kwanini hakutumia Biblia kuapa

Huyu dingi anashangaza sana ni wazi kwamba CHADEMA walishinda kwa sababu wana MUNGU na CCM wana FEDHA iweje tu baada ya Uchaguzi baregu anamkataa Mungu aliyeipa CDM ushindi Arumeru? Falsafa yake ya kipagani abaki nayo humo humo ila akija Arusha ambako watu wengi wanamheshimu Mungu hatapata support ya upagani wake. kam siyo mnafiki na wakutaka kumfurahisha Devil basi angekuja na kitabu cha hiyo dini yake ili tujue anachokiamini. Lazima at some point binadamu walikuwa wanaamini kitu, iwe miti, mawe n.k. kama ana ujasiri angeleta hata jiwe au kipande cha mti basi tujue anaamini nini?. kwa hili prof. anaonekana kuyumba simpi support hata kidogo na CDM katu msiendekeze hii imani ikataeni kwani ni KWA SABABU YA KUMTUMAINI MUNGU MMEFIKA HAPO MLIPOFIKA. Mkikosea kumfuatisha Baregu mtatetereka within no time. Lets keep our faith on God tuache ujinga.

Usikurupuke kama mwanariadha...
Hizi dini mbili mlizonazo zililetwa hapa nchini na Meli za wakoloni.
Kabla ya hizi Meli kuja hapa nchini ukae ukijuwa hakukuwa na Msahafu wala Biblia.
so Profesa yeye ameamua kubaki kulekule walikokuwa wanaabudu Babu zetu.


Haters feel free, ur time is now
 
Siku tutakapoona Muumini wa Mungu mwenye siasa kali akikataa kuapa kwa Msahafu ndio tutakuwa katika muelekeo mzuri wa kutenganisha siasa na dini....

Kwa la Profesa Baregu, hamna jipya. Ni kuwa haamini katika misahafu hiyo sio kuwa hakutaka kuchanganya hata by assassination dini na siasa
 
"I was baptized a Catholic when i was young at school..i wouldnt want to be hyprocrite as i believe God is there(is sovereign and exists), not in the house of bibles or Qurans..i ve never been doctrinaire for Christianity or any religion from abroad, i believe in a lot of things in Africa..Africans ve abondoned their indigenous spiritualism from their own 'Gods' and what they do now is nothing other than hyprocricy..

There is spiritual push from the devevoloped world but still some respect their denominations.For example, Hinduism is still playing a big role and most respected by Indians communities."

Baregu subsribes to humanity,justice,equality ,clean environment, fairness and equity,between community and conscious building.
Source:The African,Monday,April 16 2012.


Haya mamabo aliyosema Baregu ana subscribe kwayo, mbona sio ya asili ya kiafrika. Hizo ni kauli ambazo tunazisoma kutoka wa atheists wengi hasa wazungu. Pointi yangu ni kuwa hata hicho anachosema anakiamini leo badala ya Ukristo (western indoctrination)kimetoka kwa hao hao wazungu. Ningefurahi kama angekuja na imani ambayo purely ni Africanism kwamba yeye anaabudu kwenye mlima, pango, mti, shrub au chochote ambacho waafrika walikuwa waanabudu kabla ya ukristo au Uislamu
 
Hiyo biblia yenyewe imeandikwa na waliokuja kuwa freemasons, sasa kama wewe Mkristo kwa mfano unaita atheists freemasons wakati biblia yenyewe imeandikwa kwa censorship kuondoa mambo mengi na umeachiwa waliyotaka uone hao Freemason's predecessors, walio aim ku control dunia, nakuona huna uelewa wa mambo mengi sana.

Acha uongo wewe. Hivi unajua freemasons walianza lini mpaka udae eti waandishi wa Biblia walikuja kuwa fm. God hater, when will you grow up na kuacha uongo? Kuwa Satan incarnate ndio kukufanye useme uongo?

Hujuwi chochocte kuhusu ukristo zaidi ya kuwa Hater wa Mungu. Kitu cha ajabu, unachuki na Mungu ambaye hayupo!!!! That is pathetic.

Unaendelea kuonyesha low self esteem kila unapo sikia neno Mungu.
 
Unajuaje kwamba mungu yupo?

kwani wewe unajuaje kama Mungu hayupo?
kiranga huwa unafurahisha na kusikitisha sana. hata 0.0000001 ya ufahamu uliopo ulimwenguni huujui unadiriki kudai hakuna Mungu?
Hebu tuambie kama tu issue ya kuwa freemason hawakuandika Biblia na kuwa maandiko yalitawanyika kiasi kwamba isingewezekana kuyachuja. kama fact ndogo kama hizi hujui bado unataka tukuamini katika dini yako ya hakuna Mungu?
 
"I was baptized a Catholic when i was young at school..i wouldnt want to be hyprocrite as i believe God is there(is sovereign and exists), not in the house of bibles or Qurans..i ve never been doctrinaire for Christianity or any religion from abroad, i believe in a lot of things in Africa..Africans ve abondoned their indigenous spiritualism from their own 'Gods' and what they do now is nothing other than hyprocricy..

There is spiritual push from the devevoloped world but still some respect their denominations.For example, Hinduism is still playing a big role and most respected by Indians communities."

Baregu subsribes to humanity,justice,equality ,clean environment, fairness and equity,between community and conscious building.
Source:The African,Monday,April 16 2012.

Bila shaka tumepata na upande wa pili na sasa maswali yanaweza kupungua.

Mbona hayo aliyo-subscribe ndio mwongozo wa Kristo na ndivyo Inhili inavyosema. Hawa ma-profesa naona huo u-profesa ni just a label lakini thinking yao inawezazidiwa na ile ya kipanga wa St. Mariane secondary school!!!
 
Gud of u prof. Baregu, najua weng hawatakwelewa kwa kukariri mapokeo kutoka nchi za kigen!Bt ktk hli nakuunga mkono sana tu, SOMENI YAKOBO/JAMES 1:27-mtapata dini ya kweli ni ipi MUNGU M1 anaicctza tena na tena!
 
In God We Trust. Tunataka katiba ya wananchi na sio dini fulani.
Wewe kichwa chako kimejaa 'udini' ndio maana huoni wala husikii. Uzi unamzungumzia Prof. na upagani wake, wewe unazungumzia 'udini' kwenye katiba. Pole sana.
 
Mbona hayo aliyo-subscribe ndio mwongozo wa Kristo na ndivyo Inhili inavyosema. Hawa ma-profesa naona huo u-profesa ni just a label lakini thinking yao inawezazidiwa na ile ya kipanga wa St. Mariane secondary school!!!


Ohooo! Mwanamayu, ivi unajua umemuunga mkono Profesa: Kwamba kumbe kuna njia zaidi ya moja ya kumfikia Mungu.
Kumbe basi inawezekana umeaminishwa kwamba njia ni mbili tu, njia ya kizungu na kiarabu, ili uidharau njia ya Kiafrika ya kumfikia Mungu. Mungu yupo ndiyo, lakini je ni lazima upatikane kwa njia za kizungu na kiarabu tu? F*K dini za kizungu na kiarabu. Zitatuletea vurugu tu hapa!
 
Hongera Prof Baregu, Tatizo watu wengi ni watumwa wa fikira za kigeni, ndo wale wanoona kila kinachotoka ulaya ni kizuri. Kuamini uwepo wa Mungu ni kitu kingine na kuamini ukirsto au uislamu ni kitu Kingine. Waafrika toka zamani walimuamini Mungu kwa njia zao wazungu na waarabu walivyokuja wakatusadikisha kuwa kumwamini Mungu lazima uwe mkristo au Muislam. Panueni Mawazo na oneni nje ya box dogo.
 
Waafrika tunafurahisha sana jinsi tunavyopenda kushabikia mambo na kujiona wajuaji.
 
Ivi mnajua hata hawa wanaokwiba ela ya nchi kwa sasa wengi wao waliapa kwa ivyo Vitabu
 
kwani wewe unajuaje kama Mungu hayupo?
kiranga huwa unafurahisha na kusikitisha sana. hata 0.0000001 ya ufahamu uliopo ulimwenguni huujui unadiriki kudai hakuna Mungu?
Hebu tuambie kama tu issue ya kuwa freemason hawakuandika Biblia na kuwa maandiko yalitawanyika kiasi kwamba isingewezekana kuyachuja. kama fact ndogo kama hizi hujui bado unataka tukuamini katika dini yako ya hakuna Mungu?

Mie nilishasema hakuna ninalojua, sio tu sijui, sijui hata kama sijui.

Sasa nyie mnaojua nijuzeni na mie nisiyejua nijue.

Unajuaje kama mungu yupo?

Mtu anapouliza "unajuaje kama mungu yupo?" haimaanishi kwamba kasema mungu hayupo. Comprehension ndogo tu mzigo halafu unataka kuniambia unajua kwamba mungu yupo.

Jibu swali. Unajuaje kwamba mungu yupo?
 
Waafrika tunafurahisha sana jinsi tunavyopenda kushabikia mambo na kujiona wajuaji.
 
Napingana na wanaomshambulia Prof. Baregu. Namuunga mkono Baregu kwa kuwa mkweli kwa anachokiamini, amejiweka huru mbele ya jamii inayotetea na kupigania kitu wasichokielewa. Niseme wazi kuwa wanaomshambulia Baregu ni wanafiki sana maana sijawahi kuwasikia watu hao wakipinga mifumo inayokataa uwepo wa mungu. Sayansi ya asili (phizikia, kemia na baolojia) ni elimu iliyojipambanua wazi kupinga kabisa uwepo wa mungu lakini watu kwa miaka mingi wamehangaika kukumbatia elimu ya sayansi, nilitarajia kabla ya kumshambulia Baregu wangeanza na kupiga vita sayansi na hata tawala kama vile za china na korea kaskazini. Wasingeishia hapo wangepinga hata zile nchi zinazosema hazina dini kama Tanzania maana kama dini ni kitu cha msingi ktk maisha ya binadamu basi lazima serikali ilitakiwa iwe na dini ili iwaepushe watu wake dhidi ya jehenamu.
Baregu ni muumini wa mungu wa kweli na haamini ktk management za kidini duniani ambazo zimeimarisha nguvu ktk kuhamasisha michango ya kifedha ili kujineemesha, Baregu amekataa kutishwa na vitu visivyoonekana na kwa kuwa yuko ktk nchi inayoruhusu ktk uhuru wa kuamini na kuabudu mwacheni aamini anavyoamini kama nanyi mnavyoamini.
Baregu anaamini kuna mungu mmoja tu, mie naamini kuna miungu wawili: mungu wa kweli ambaye ni muumba, mwenye huruma, upendo, mvumilivu na mwenye hekima na busara, mungu wa pili ni yule wa kutengenezwa na binadamu huyo ana hasira anaweza kuteketeza viumbe vyake mwenyewe enzi za rutu na nuhu, anayewakomoa wazinzi kwa kuleta ukimwi, anayeruhusu kuua kwaajili ya dini anayewapa thawabu wanaojilipua na kuua waumini wa dini nyingine. Katika hao wawili namwamini yule muumba na kwa imani yangu kitabu sio ishu.

Science without Religion is lame; Religion without Science is Blind. (Albert Einstein)
 
Back
Top Bottom