Procurement and supplies manager urgently wanted

Wekea na nyama kidogo kwenye tangazo lako.
Ofisi ziko wapi? mwisho wa ku apply ni lini? elimu ya mwombaji? na mengine ya muhimu.
 
Mi nimeshatuma ndugu yangu nimesomea mambo hayo na nna uzoefu.
Thanks
 
Haya ndo mambo. Faster sana nakutumia documents za mtu ambaye hamtajuta kuwa naye.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom