jamani sijui niseme ngoja niache tu.....................
Mhhh Boflo, unavuliwa mpaka viatu?
inahuu......niache kusoma zangu Ebony....kwani nani hajachoka.......
Boflo .. wewe subiri tu ... ipo siku itafika ... na utashangaa kama ndio huyo huyo uliomuoa au mwingineWake wa Darisalama wamenishinda...nimeamua kuchukua kifaa cha unyamwezini..
Wacha viatu...nawekewa maji ya moto, nakandwa, napikiwa mapocho pocho, naimbiwa nyimbo kwa sauti nyororo..
Na mengineo ni siri siwezi kuyaanika hapa jamvini(habari ndo hiyo)
Wake wa Darisalama wamenishinda...nimeamua kuchukua kifaa cha unyamwezini..
Wacha viatu...nawekewa maji ya moto, nakandwa, napikiwa mapocho pocho, naimbiwa nyimbo kwa sauti nyororo..
Na mengineo ni siri siwezi kuyaanika hapa jamvini(habari ndo hiyo)
Longa , longa mwaya....usiogope
Sema ndugu yangu usimezee!