Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Baada ya Kifo cha huyu Kijana watu wengi huku wakipewa support kubwa na vyombo mbali mbali vya habari pamoja na Ndugu Jakaya Kikwete wameibuka na maelezo kwamba huyu Jamaa ameshiriki kwa kiwango kikubwa katika kuinua Tasnia ya Filamu nchini na maelezo mengine mengi sana kama kuitangaza Tanzania Kimataifa n.k
Mimi naomba msaada kwenye mambo yafuatayo.
1.Kwamba ameitangaza Tanzania, Je. Ni Kazi Gani ya Kanumba iliyobeba picha halisi ama ya Maisha kwa ujumla au mila na desturi za jamii yoyote ya kitanzania.
2. Kwamba ametoa mchango Mkubwa, Je. Ni Mchango gani ambao unabeba maudhui ya Kitaifa au Sekta ya Filamu?
3. Na ni kazi gani ya Kanumba ambayo imebeba ujumbe wenye msingi wa kujenga Jamii iliyostaharabika na kusimamia Misingi imara ya kifamilia,kijamii,kibiashara,kidini n.k
Ipi??
Asanteni.
Mimi naomba msaada kwenye mambo yafuatayo.
1.Kwamba ameitangaza Tanzania, Je. Ni Kazi Gani ya Kanumba iliyobeba picha halisi ama ya Maisha kwa ujumla au mila na desturi za jamii yoyote ya kitanzania.
2. Kwamba ametoa mchango Mkubwa, Je. Ni Mchango gani ambao unabeba maudhui ya Kitaifa au Sekta ya Filamu?
3. Na ni kazi gani ya Kanumba ambayo imebeba ujumbe wenye msingi wa kujenga Jamii iliyostaharabika na kusimamia Misingi imara ya kifamilia,kijamii,kibiashara,kidini n.k
Ipi??
Asanteni.