Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Eng Burton B. Ukoko
Ni zao la mfumo wetu wa elimu na makuzi, hairuhusiwi na nikosa kukosoa serikali, lazima ujipendekeze ili usipoteze kazi hasa kama wewe ni mbabaishaji, usitishiwe kuuwawa. Huyo Waberoya alikuja hapa na kutambulisha jina hili eti ametishiwa uwawa na usalama wa taifa, sisi wajanja tulilijua ni janja ya kitoto. Hawezi sifia chochote nje ya serikali, angalia mabandiko yake hapa JF. Kwenye elimu yetu Mwalimu anapokuwa darasani anaongea na kufundisha na wanafunzi wanasikiliza huwezi kuhoji wala kuuliza swali hii itakuletea matatizo matokeo yake ndo haya akina Burton, wanaishia kutoa generalization zisizo na kichwa wala miguu. Ninavyojua Engineers ni watu wanaotumia takwimu kujenga hoja huyu jamaa bila shaka amejipachika cheo ama wadhifa wa Eng ili kushusha na kudhalilisha watu walio kwenye fani hiyo. Nitakuja na Mabandiko yake hapa shortly.
Ni zao la mfumo wetu wa elimu na makuzi, hairuhusiwi na nikosa kukosoa serikali, lazima ujipendekeze ili usipoteze kazi hasa kama wewe ni mbabaishaji, usitishiwe kuuwawa. Huyo Waberoya alikuja hapa na kutambulisha jina hili eti ametishiwa uwawa na usalama wa taifa, sisi wajanja tulilijua ni janja ya kitoto. Hawezi sifia chochote nje ya serikali, angalia mabandiko yake hapa JF. Kwenye elimu yetu Mwalimu anapokuwa darasani anaongea na kufundisha na wanafunzi wanasikiliza huwezi kuhoji wala kuuliza swali hii itakuletea matatizo matokeo yake ndo haya akina Burton, wanaishia kutoa generalization zisizo na kichwa wala miguu. Ninavyojua Engineers ni watu wanaotumia takwimu kujenga hoja huyu jamaa bila shaka amejipachika cheo ama wadhifa wa Eng ili kushusha na kudhalilisha watu walio kwenye fani hiyo. Nitakuja na Mabandiko yake hapa shortly.