Unga wa Kitarasa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 398
- 99
baraa bara kabisa wapenzi wasomaji wa ujumbe huu embu naomba mnifahamishe inakuwaje unakuta prizenta wa ki tz wanapokuwa wanaigana kutangaza yaani mpaka inakuwa ina boa coz unakuta umefungua redio hii utafikiri ndo hile uliyokuwa unasikiliza awali yaani kwa kama huku niliko ndo usiseme.., embu tupieni ma advaisi yenu zen tuwashauri madogo hawa wanao kurupuka tuu kutangaza...