Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
Kuna baadhi ya private schools zinamanyanyaso sana kwa wafanyakazi wake,yani mkuu anaiendesha taasisi kama anavyotaka.Wengine wanaassume wafanyakazi hawajui haki zao za msingi wanapokua kazini.Hili halijakaa vizuri,wakuu wa shule za binafsi mjirekebishe.