mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
lilikuwa likijaribu kulipita/Overtake Lori ndipo liliacha njia na kupinduka. Chanzo kinadaiwa ni mwendo kasi!
Inasikitisha! Halafu sababu za ajali huwa ni zilezile kila kukicha! Hatujifunzi?
Basi la Prince Muro T485BQV limepata ajali eneo la Senjele-Tunduma na kuua abiria mmoja na kujeruhi kadhaa! Basi hilo lililokuwa likitokea Dar kwenda Tunduma lilikuwa likijaribu kulipita/Overtake Lori ndipo liliacha njia na kupinduka. Chanzo kinadaiwa ni mwendo kasi!View attachment 49809View attachment 49810View attachment 49811
ni princess muro na sio prince muro mkuu ni mabasi tokea muro investment