Prince Fillip toka ukimbizi hadi Royal family UK.

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,883
6,884
ALeqM5jWFC4ouRgGI8WdkPDAUCOTITaKJA

Malkia Elizabeth wa Uingereza hakuna mwanaume yeyyote wa kumwangukia kuwa mume wake
kati ya waingereza wote, ila huyu mzawa wa Ugiriki aliyekimbia nchi yake kisiasa pamoja na wazazi wake.

Born Prince Philippos of Greece and Denmark, Philip fled Greece with his family when he was just 18 months old as the country was seized by political instability.
An officer in Britain's Royal Navy during World War II, he had met Princess Elizabeth in 1939, but the couple did not marry until 1947.
He had to give up his Greek and Danish titles and join the Church of England in order to marry the future queen, and his career was cut short by the death of king George VI in 1952, which brought Elizabeth to the throne.
He once admitted the curtailment of his promising naval career was "disappointing", but said that "being married to the queen, it seemed to me that my first duty was to serve her in the best way I could".
They have four children. The eldest is heir to the throne Prince Charles.
 
ALeqM5jWFC4ouRgGI8WdkPDAUCOTITaKJA

Malkia Elizabeth wa Uingereza hakuna mwanaume yeyyote wa kumwangukia kuwa mume wake
kati ya waingereza wote, ila huyu mzawa wa Ugiriki aliyekimbia nchi yake kisiasa pamoja na wazazi wake.

Born Prince Philippos of Greece and Denmark, Philip fled Greece with his family when he was just 18 months old as the country was seized by political instability.
An officer in Britain's Royal Navy during World War II, he had met Princess Elizabeth in 1939, but the couple did not marry until 1947.
He had to give up his Greek and Danish titles and join the Church of England in order to marry the future queen, and his career was cut short by the death of king George VI in 1952, which brought Elizabeth to the throne.
He once admitted the curtailment of his promising naval career was "disappointing", but said that "being married to the queen, it seemed to me that my first duty was to serve her in the best way I could".
They have four children. The eldest is heir to the throne Prince Charles.



Anakufa? Mbona Mnaweka Historia yake kwenye Jukwaa la Siasa? Nilidhani nii ni pahali madhubuti ya siasa za Ndani ya Nchi

Ya Tanganyika na kidogo Zanzibar? Sasa haya ya Historia ya Malkia wa Uingereza inatisha...

Yuko tena hospitali kwa Ule Ule Ugojwa wa uzeeni wa Kibofu cha Mkojo - ni huo pia ulimsumbua Mzee Bob Makani?
 
Sasa hapo kaoa au kaolewa? Anyway, in short kilichokuwa kinatakiwa ni mbegu zake tu na sio kingine.
 
Sasa hapo kaoa au kaolewa? Anyway, in short kilichokuwa kinatakiwa ni mbegu zake tu na sio kingine.

We dudus mbona unahitimisha haraka mjadala? Hili la mbegu zake ungelimazia baadaye, wenyewe wakikusikia watakukomesha ubishi, maana sasa tunajua akina Charles si wa UK bali ni Wagiriki.
 


Anakufa? Mbona Mnaweka Historia yake kwenye Jukwaa la Siasa? Nilidhani nii ni pahali madhubuti ya siasa za Ndani ya Nchi

Ya Tanganyika na kidogo Zanzibar? Sasa haya ya Historia ya Malkia wa Uingereza inatisha...

Yuko tena hospitali kwa Ule Ule Ugojwa wa uzeeni wa Kibofu cha Mkojo - ni huo pia ulimsumbua Mzee Bob Makani?

Yuko hospitalini kwa matibabu, latika umri huu wa miaka 91 tusitegemee organic zote mwilini zifanye kazi kama alivyokuwa kijana akiwalea wajukuu wake akina Charles na kipindi cha hayati mkwe wake Diana.
 
Yuko hospitalini kwa matibabu, latika umri huu wa miaka 91 tusitegemee organic zote mwilini zifanye kazi kama alivyokuwa kijana akiwalea wajukuu wake akina Charles na kipindi cha hayati mkwe wake Diana.

Yeah... naelewa...
 
We dudus mbona unahitimisha haraka mjadala? Hili la mbegu zake ungelimazia baadaye, wenyewe wakikusikia watakukomesha ubishi, maana sasa tunajua akina Charles si wa UK bali ni Wagiriki.

nami nilikuwa sijui kuwa mume wa queen elizabeth ni mgiriki!kwa hiyo kama queen akifa akarithi mtoto wake ina maana waingereza watatawaliwa na mgiriki!hii kali!
 
nami nilikuwa sijui kuwa mume wa queen elizabeth ni mgiriki!kwa hiyo kama queen akifa akarithi mtoto wake ina maana waingereza watatawaliwa na mgiriki!hii kali!

Ukweli ndio huo lakini waingereza hawako tayari kukiri hivyo.
 
Ukweli ndio huo lakini waingereza hawako tayari kukiri hivyo.

Karibu nchi zote za Ulaya, mtoto anachukua utaifa wa mama au asili ya mama. Hii ni desturi na mila za wayahudi, huwezi kuwa myahudi kama mama yako si myahudi. Kwa hiyo watoto wa Queen ni waingereza kwa mujibu wa mila za kwao.
 
Karibu nchi zote za Ulaya, mtoto anachukua utaifa wa mama au asili ya mama. Hii ni desturi na mila za wayahudi, huwezi kuwa myahudi kama mama yako si myahudi. Kwa hiyo watoto wa Queen ni waingereza kwa mujibu wa mila za kwao.

Wazungu wote wa ulaya au baadhi tu?
 
Ukweli ndio huo lakini waingereza hawako tayari kukiri hivyo.

Historia ya Royals wa Europe ni complex. Wengi wao ni ndugu ingekuwa huku Afrika kama familia moja tu. Dada yake Prince Philip ndio mke wa mfalme wa Spain (Queen Sophia).
 
Historia ya Royals wa Europe ni complex. Wengi wao ni ndugu ingekuwa huku Afrika kama familia moja tu. Dada yake Prince Philip ndio mke wa mfalme wa Spain (Queen Sophia).

Nasikia Queen Victoria alitumia mbinu za falme za Ulaya kuoleana hili wasiwe wanapigan vita, Victoria alikuwa na jamaa zake mpaka falme ya Kirusi kabla ya mapinduzi ya october 1917, falme (Czar) hiyo ilipo tiwa mbaroni na wana mapinduzi walihakikisha wanawahua familia nzima isije ikaingia madarakani tena.
 
Nasikia Queen Victoria alitumia mbinu za falme za Ulaya kuoleana hili wasiwe wanapigan vita, Victoria alikuwa na jamaa zake mpaka falme ya Kirusi kabla ya mapinduzi ya october 1917, falme (Czar) hiyo ilipo tiwa mbaroni na wana mapinduzi walihakikisha wanawahua familia nzima isije ikaingia madarakani tena.

Hahaha, hata mfalme Suleman wa wayahudi alijitahidi kutumia busara na hekima yake kuoa wake kutoka mataifa ambayo yalikuwa na ugomvi nayo ili kuwatuliza, na ilizaa matunda kwani kipindi cha utawala wake hakukuwa na vita mara nyingi kama ilivyokuwa kwa watawala wengine. Mbinu nzuri.
 
Hahaha, hata mfalme Suleman wa wayahudi alijitahidi kutumia busara na hekima yake kuoa wake kutoka mataifa ambayo yalikuwa na ugomvi nayo ili kuwatuliza, na ilizaa matunda kwani kipindi cha utawala wake hakukuwa na vita mara nyingi kama ilivyokuwa kwa watawala wengine. Mbinu nzuri.
Hah hah itabidi nikaoe mwarabu wa Kizanzibari bana nikomeshe Uamusho,wansikia bwanaaa
 
Back
Top Bottom