Prince Charles na mke wake washindwa kuingia mjini Arusha

nipoo hapa A-town namwona prince charles anakatizaaa na wapambe akiwemo balozi wa uk nchinii...Ataelekeaa cultural heritagee soon.

Acha uongo wewe! JF siyo kijiwe cha kahawa walipo wambeya. Ameshindwa kuja mjini na amekwisha panda ndege amesepa, mods hawa watu wanaifanya JF kuwa kijiwe cha wahuni waban bana.
 
haya sasa hatupati tena misaada toka UK na sijui itakuaje huko nje maana kuna misafa kibao kuwa Tz ni nchi amani ya kuijwa Africa sasa Mkuu sijui atawaeleza nini hao Wazungu

Kimsingi Arusha wamekoroga sana sifa ya Tz nje

mbona unackitika sana kwan wew hata wasipo kuja utapungukiwa na nin??
Au unaogopa huta pata haki yako ya kushughulikiwa hayo masaburi yako.
 
hata kikwete anapaogopa tena sana...anavyoingea lind si kama atakavyingia arusha
 
mbona kuna mchanganyo ?mara wengine wamemuona mara hakuwa na ratiba ya arusha mjini mara ameishia arumeru sasa tumuamini nani?
 
haya sasa hatupati tena misaada toka UK na sijui itakuaje huko nje maana kuna misafa kibao kuwa Tz ni nchi amani ya kuijwa Africa sasa Mkuu sijui atawaeleza nini hao Wazungu

Kimsingi Arusha wamekoroga sana sifa ya Tz nje

Nani kasababisha hayo yote, je ni wakazi wa Arusha ?????????? be specific mkuu
 
Acha uongo wewe! JF siyo kijiwe cha kahawa walipo wambeya. Ameshindwa kuja mjini na amekwisha panda ndege amesepa, mods hawa watu wanaifanya JF kuwa kijiwe cha wahuni waban bana.

Prince charles na mkewe anaendelea na ratiba yake mjini arusha kama ilivyopangwaa....jamaniii ukwelii tusipendee kuugeuzaa uwongoo..nipoo kwenye kushughulikia safari yake hapaa A-town.
 
nipoo hapa A-town namwona prince charles anakatizaaa na wapambe akiwemo balozi wa uk nchinii...Ataelekeaa cultural heritagee soon.

OK! mtoto wa malkia wa Uingereza na sio mtoto wa Malekia mchaga alieishia Arumeru.
 
CDM mziki mzito na ulicheza nao inakula kwako live................
 
x350.jpg 350x.jpg 350x.jpg

Namuona Carmella Camilla, Duchess of Cornwall akitembelea a Majengo Maasai Boma on November 9, 2011 in Arusha,
Kwa ung'eng'e captions zinasoma hivi; ARUSHA, TANZANIA - NOVEMBER 09: Camilla, Duchess of Cornwall wears a traditional Maasai necklace as she visits a Majengo Maasai Boma on November 9, 2011 in Arusha,
 
Dah! nilikuwa natamani afike huko. Arusha kweli kiboko.
 
Majengo boma ipo wp?sio karibu na Kia kweli?.mimi nimemwona apa Usa River alikuja Leganga Primary School ulinzi ulikuwa mkubwa sana.makachero wa Uk na Tanzania walikuwa wameizunguka hiyo shule.USA RIVER Kweli amefika Arusha mjini....? Czani
 
Haya sasa hatupati tena misaada toka UK na sijui itakuaje huko nje maana kuna misafa kibao kuwa Tz ni nchi amani ya kuijwa Africa sasa Mkuu sijui atawaeleza nini hao Wazungu

Kimsingi Arusha wamekoroga sana sifa ya Tz nje

Acha utwana na umanamba kuendekeza kuombaomba - Au wakumbuka enzi za Matonya - huyo alitoka kivyake, ukiwakumbatia hawa jamaa watajenga mazingira ya kuku - SO*DO*MA* Au huogopi!?
 
hahaha...nimeamini kwamba sasa hv Chadema hatuna muelekeo..kwahiyo watu kukubalia kwenda mahabusu ni kwajili ya kumuonesha Prince kwamba wao ni FIGHTERS...thats totaly Crap!!!!!!!!!!!!!!...huyu Prince hana mpango na siasa za nchi yoyote..labda mnashindwa kujua tuu kwamba waingereza wen it comes siasa hawana time...unless otherwise mkisikia wamarekani labda ndio mrudi tena mahabusu...but SHAME ON YOU ALL CHADEMA TOP LEADERS...thout we r going forward kumbe tunarudi nyuma...sasa nimeamini kwamba CHADEMA ni CCM C in another way...na wananchi tunafurahi kwa ushabiki wa kijinga bila hata kufikiria
 
Wadau nimeangalia habari ya channel ten,sijaona taarifa kuhusu mwana mfalme kutua 'Geneva of Africa' (ARUSHA),nini shida?
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom