Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,084
Yule mtoto wa malikia ameshindwa kuingia jijini Arusha na kuishia Arumeru, na hii ni baada ya wapelelezi wake waliyokuwa mwezi mmoja kabla ya safari yake hapa nchini, wapelelezi hawo wamemtonya kuhusu hali ya Arusha kuwa si shwari.
Arusha leo ilijiandaa kumdhalilisha vilivyo. Naripoti nikiwa ndani ya chumba cha RPC Arusha ambako kamanda Mbowe anamalizia maelezo ya mwisho.
Arusha leo ilijiandaa kumdhalilisha vilivyo. Naripoti nikiwa ndani ya chumba cha RPC Arusha ambako kamanda Mbowe anamalizia maelezo ya mwisho.