omujubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 4,325
- 2,498
hivi kabla ya kuandika kitabu cha 'Tumaini lililolejea' alishawahi kabla ya hapo kuandika hata makala kuelezea ni jinsi gani jamii yake imeporomoka kimaendeleo (uchumi/elimu) na ni jinsi gani ya kurudisha (restoration) hiyo hali!?Pia ni mjinga sana mbona asitetee wahaya na wao walipwe fidia ya migomba yao kama wakuleeeee wanaolipwa Ng'ombe baada ya kufa kwa ukame anakuja na agenda za kizamani tena za mkoloni kweli wameshikwa pabaya mbaka 2014 watakuwa wamechanganyikiwa